aliye post ni 50, kampost kanye kampakata trump.Huyo si 50 ni kanye west..by the way ya wamarekani waachie wamarekani, hiyo ni dunia ya kwanza.
Angalia vizuri picha mkuu ueleweHuyo si 50 ni kanye west..by the way ya wamarekani waachie wamarekani, hiyo ni dunia ya kwanza.
Huku hairuhusiwi. Wasiojulikana wangekutana naye. Na also ni tabia chafu! Kama kuiga ndio huko tusiige. Na siku mkiiga Dr Magu atafunga mimatandao yote. Na hapo nitamuunga mkono na mguu. Fikiria ni baba ako kawekwa hapo au we we mwenyewe!!!!
Wewe unaonekana hata humjui 50 centKagua picha vizur
Okeeeeee!! Samahani mkuu nimekuelewaSagundar ndo maana nikasisitiza ukague picha, hapo 50 kapost picha hiyo insta .
Umeelewa