LadyRed
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 9,636
- 11,507
Hasty and false generalization, look carefully wanawake wapo.,Hahaha
Wanawake wasomi wa kibongo ni majanga.
Wewe mwana mke wa Bongo mwenye ka BA tu ka UDSM msumbufu.
Nani angeweza kuwa kama Michelle pamoja na MA ya Havard akaenda ikulu kazi yake kupamba, kucheza na watoto cjui, kusimamia mapishi ya Barrack, yaan aliweka Pride pembeni akachukua role ya mama kabsa. Madem wa kibongo hawawez kuwa humble hivo tena kama wamesoma.
Nani angeweza kuwa kama Michelle??ukiwa first lady wa nchi yoyote huwi na kazi nyingine zaidi ya kuwa na supporting role kwa mumeo kupitia shughuli za kijamii,so ts not like Michelle amefanya kitu tofauti na other first ladies