Hebu tudiscuss hii bajeti
Unampeleka lodge, may be 30,000
Unakod taksi, au unaweka mafuta ya 20000
Ukifika mnaagiza misosi (minimum chips kuku) 20000
Mnapiga 1 moto, 1 baridi 12000
Mnafanya mambo, asubuhi, au mkimaliza unamchapa per diem yake 30000 (minimum)
Unamkodishia teksi tena kurudi kwao 10000
Jumla 122,000/=
Unakuwa umepiga bao mbili!
Hii ni sawa na 61,000 kwa kila bao!
Kwa mtaji huu kama nina geto... huniambii kitu sijui tutoke, never
Mkuu wewe mchumi nini