Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,714
- 24,888
Jamani mtu akiolewa kaolewa na ukoo mtu anakuja na familia nzima .
Yaani wazazi wote wawili , dada , kaka na wadogo zake ndani yanyumba halafu hawana hata haya yakukaa na wao ndio wamefika. Hata wakitafutiwa kazi wapo hapo hapo na chakusikitisha hawachangii chochote sio luku au chakula wala kodi au nini kila kitu ni shemeji kama mpo huku acheni hii tabia mnakera ipo siku mtampomza dada yenu ataachika.
Wifi alijifungua akaniita nikamsalimie kufika nyumba ya jirani yake hadi aibu yaani wamemganda shemeji yao hadi aibu . Na hadi kuoga , chakula na kuishi kwa ujumla inaboa inasikitisha mtu hana raha.
Mimi na wifi yangu tukicheka ile siku mtu na ndugu yake wanakimbizana kisa mtu kala pajaa. Kama mpo huku acheni ujinga na roho ya unafiki nendeni kwenu.
Kwa wifi yangu sijawahi hata kuona ndugu zake. Hata kuwaona ila kama anaumwa au anaboreka ndio unawaona na sio hawana shida ila wanaheshima .
Kama mpo humu acheni uroho wakwanini.
Mnaboa mtu amezeeka kwa shemeji yake . Hadi mvii sio freshi wakuu.
Yaani wazazi wote wawili , dada , kaka na wadogo zake ndani yanyumba halafu hawana hata haya yakukaa na wao ndio wamefika. Hata wakitafutiwa kazi wapo hapo hapo na chakusikitisha hawachangii chochote sio luku au chakula wala kodi au nini kila kitu ni shemeji kama mpo huku acheni hii tabia mnakera ipo siku mtampomza dada yenu ataachika.
Wifi alijifungua akaniita nikamsalimie kufika nyumba ya jirani yake hadi aibu yaani wamemganda shemeji yao hadi aibu . Na hadi kuoga , chakula na kuishi kwa ujumla inaboa inasikitisha mtu hana raha.
Mimi na wifi yangu tukicheka ile siku mtu na ndugu yake wanakimbizana kisa mtu kala pajaa. Kama mpo huku acheni ujinga na roho ya unafiki nendeni kwenu.
Kwa wifi yangu sijawahi hata kuona ndugu zake. Hata kuwaona ila kama anaumwa au anaboreka ndio unawaona na sio hawana shida ila wanaheshima .
Kama mpo humu acheni uroho wakwanini.
Mnaboa mtu amezeeka kwa shemeji yake . Hadi mvii sio freshi wakuu.