MECKIAD RUYINGO
Member
- Jun 10, 2011
- 20
- 0
Kuna kaka nilikutana naye facebook, tukapeana namba za simu tukawa tunawasiliana vizuri mpaka sasa tumefikisha mwaka mmoja. Wakati nikitafakari undani wa upendo wetu ikaonesha ya kuwa mkaka hana mapenzi yakweli kwani alinipatia information za uongo.
1. hakuwa mpenzi name kuwa chaguo lake la pekee,
2. eti anaishi Kenya, mfanya biashara,
3. Familia niya elite group.
Kwa sababu hizo tukaamua kushirikiana kwa kila jambo japokuwa tuko mbali from each other mwaka ujao tulipanga tukatambulishane kwa wazazi.
MWISHO WA SIKU
.nikagundua kuwa kaka anampenzi wake na wanasoma chuo kimoja mwaka wa pili, yuko Tanzania chuo kikuu cha Dodoma
Je nifanyeje?