Hii imezidi

Kuna kaka nilikutana naye facebook, tukapeana namba za simu tukawa tunawasiliana vizuri mpaka sasa tumefikisha mwaka mmoja. Wakati nikitafakari undani wa upendo wetu ikaonesha ya kuwa mkaka hana mapenzi yakweli kwani alinipatia information za uongo.​
1. hakuwa mpenzi name kuwa chaguo lake la pekee,​
2. eti anaishi Kenya, mfanya biashara,​
3. Familia niya elite group.​
Kwa sababu hizo tukaamua kushirikiana kwa kila jambo japokuwa tuko mbali from each other mwaka ujao tulipanga tukatambulishane kwa wazazi.​
MWISHO WA SIKU….nikagundua kuwa kaka anampenzi wake na wanasoma chuo kimoja mwaka wa pili, yuko Tanzania chuo kikuu cha Dodoma
Je nifanyeje?

Mpaka hapo bado unasubiri nini??

Sepa fastaaaaaaaaaaaaa......:bolt:
 
Una miaka mingapi we binti? Inaelekea bado ni tenager ndio maana unaandika huu uozo humu. Mods waambiwe na waelimishwe humu ni above 18 tu.

Achana na mapenzi ya mtandaoni wewe utakuja juta one day kuwa makini sana na inaonekana hujiependi. Kama vipi njoo kwangu.
 
Hivi inakuaje uwasaliane na mtu mwaka bila kuonana then useme ni mpenzi wako??pole!
 
Maumivu mengine ni ya kujitakia hata sikupi pole...kwahiyo we kuona familia bora ukajiona mjanja???wajinga ndio wali wao...punguza speed mtakuja olewa na mapepo huko fb kwenu
 
du! pole sana....nakuonya jihadhari na jirekebishe utakuja kuleta aibu ktk familia...utampendaje mtu usiyemuona live? au kwa vile alisema yupo Kenya ukaona maujiko?..pole sana...achana naye madume ya simba bado tupo ila jaribu kuwa na utii na heshima utatupata kiulaini
 
Kwahiyo kuishi Kenya na kutoka kwenye familia ya Elite ndo kulikudatisha?
Pole Mwayego, lkn shukuru MUNGU hukumegwa
 
Story yko inafanana yang,kwan mie nltangaza hum kma nampenda wolper nkaomb namb yake,kuna namb nlipata nkaanza kuwasiliana nayo,baadae kuja kungundua co j.wolper.Tafuta mwingne, mie mwenyewe sina.CJUI unaonaje?
 
mimi huwa siamin mapenz ya mtandaoni hata siku moja na kwanza hata siyataki.....uongo mtupu...watu sikuiz kusema ukweli imekuwa kama sumu...lazima udanganywe....
 
Back
Top Bottom