Ndo ukweli,we unakutana na mwanaume ana miaka 33,unafikiri kapita wapi na wapi,wengine hata malaya barabarani walishachukua ndo sasa umemkuta katulia,ame-mature unamuona wa maana sana kumbe huko alikotoka????ndo ile: if walls could talk or if somebody's past could be written on his face,mh,the world would not be a place to live.....Ndo sometimes tunaambiwa tugange yajayo,yaliyopita si ndwele na daima Mungu awe kiongozi.
mi hapo wala siongezi neno, umeongea mawazo yangu kabisa..its better we understand the 'reality'..... and the sooner, the better....mimi nishasemaga hapa kuwa sometimes akina dada/mama wanakuwa na too much expectations kwenye mahusiano!
Halafu wewe mbona huonekani lakini??
mi hapo wala siongezi neno, umeongea mawazo yangu kabisa..its better we understand the 'reality'..... and the sooner, the better....mimi nishasemaga hapa kuwa sometimes akina dada/mama wanakuwa na too much expectations kwenye mahusiano!
Eti eehhh
Mimi kiukweli kwa hili nisingekubali sababu nimemuuliza kuwa hivi hujui kuwa uliepushwa na kitu fulani mpaka jamaa hakukuoa wakati ule?? Leo unatakia nini??? Kuna kitu nyuma ya pazia ambacho mungu alikiepusha
Nakubaliana na wewe Dena, lakini kwa upande mwingine, yawezekana huyo ndiye aliyekuwa mume wake, lakini kwa sababu moja, mbili ,tatu,
ikatokea hawajaona, na hivi shetani hachezi mbali kwenye mambo haya.
Na siku zote kusudi la Mungu lazima litimie, hata tukiwa wabishi, Mungu atakuacha uende halafu atakurudisha kwa bakora.
Kwa maana hiyo basi, huyo dada aangalie moyo wake, nafsi yake, roho yake, vinamwambia nini juu ya hilo.
Amshirikishe na Mungu, halafu achukue hatua.
Huonekani ukaishia Kilitime tu bongoo aahhh hutaki kuja
Niko positive Dena kwa kuangalia upande mwingine wa shilingi ila binafsi asee ni no!
Namaanisha sec chance ya style hii,,,lkn sa nyingine watu husema love has no count,,asikilize moyo wake
Inawezekana huyo mdada ndo alisababisha wakaachana,kweli mi nafikiri inategemea kilichowaachanisha ni nini?Wanaume hawa bwana kama wewe unamuona makombo hata huyo utakayekutana nae ni matapishi ya sehemu nyingine............Ausikilize moyo wake,aangalie hali kama anaweza kumudu familia na watoto wasio wake na zaidi autafute uso wa Mungu,si kila mtu maombi yake yanajibiwa in a sweet way,sometimes ndo kama hivyo,ulikuwa nae mkaachana,mkewe kafa mkakutana tena na bado mna mapenzi,maisha yanasonga.........mradi kuna heshima,uwajibikaji,uaminifu,na zaidi UPENDO,why not!!hii ishu ya matapishi wengi tunaokuwa nao wametapikwa sehemu,ni vile hatujui tu....LOL
Like that WL
Kumbe TZ leo ni sikukuu?? Sikujua ndo maana wafanyakazi wa serikalini siwaoni hewani!! Bwana hapo ni noooo hata kama nampenda ameshanidharau halafu ndo nimtake sasa hivi akha
asa Dena mbona mwanzoni hukusema kwamba alikudharau ndo akaacha kukuoa.....kisa na maana wakaachana ilikuwa nini labda tuanzie hapo, lakini kwa jinsi ulivopost mwanzoni, inaonekana hawakuachana kwa ubaya...
Hapa ndo pagumu!!!