Godoro la kioo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2025
- 364
- 727
Salamu wakuu. Hii kitu nashindwa kuelewa
Anampanga demu mida flani njoo geto demu anaitikia
Mwisho wa siku unashangaa amekuja na marafiki zake na hao marafiki zake na wao wanakuja na marafiki zao
Basi wakifika utadhani wamekuja kuandamana maana sio kwa msululu huo
Sasa mi nashindwa kuelewa mbaya zaidi Utasikia Shem tuna njaa twende kwako ukatupikie
Nyie wenzangu mnawezaje binafsi Huwa ikitokea Hali Kama hiyo Mimi na huyo demu ndo tunaishia hapo hapo
Nimekuita wewe njoo wewe Kama wewe siku nikiwa na shida na hao Wana ukoo nitaitisha kikao
Anampanga demu mida flani njoo geto demu anaitikia
Mwisho wa siku unashangaa amekuja na marafiki zake na hao marafiki zake na wao wanakuja na marafiki zao
Basi wakifika utadhani wamekuja kuandamana maana sio kwa msululu huo
Sasa mi nashindwa kuelewa mbaya zaidi Utasikia Shem tuna njaa twende kwako ukatupikie
Nyie wenzangu mnawezaje binafsi Huwa ikitokea Hali Kama hiyo Mimi na huyo demu ndo tunaishia hapo hapo
Nimekuita wewe njoo wewe Kama wewe siku nikiwa na shida na hao Wana ukoo nitaitisha kikao