Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 25,204
- 40,642
Malawi 🇲🇼, 🇿Zambia 🇿🇲, Burundi 🇧🇮 na wengine nawao wakija kwetu wanashangaa kwahiyo Acha tujivunie tulichonacho
Hapana, nilitaka tuizidi Durban.Ulitaka nchi zote ziwe sawa kimaendeleo?
Better nowTanzania inajivunia hivi vitu mwaka 2021S.A sijui itakuwa inajivunia nini mwaka huu baada ya miaka zaidi ya 39 kupita.
View attachment 1986164
Tanzania ni nchi ya kusikitisha sana.
Hii nchi gani Mkuu?
Mbona mahindi ya njano yapo hiyo wiki iliyopita somewhere in Africa.Hii nchi gani Mkuu?
wanashindwa hata kupanga MIJI sijui mtu mweusi analaana gani kwakweli hii DAR ambayo wanaisifia ukweli ni MJI wa hovyo hasa hata haueleweki kabisa ni MJI wa hovyo hasa .Ngoja ntajaribu hata hii hii sembe ya kawaida niitie binzari ya njano.Mbona mahindi ya njano yapo hiyo wiki iliyopita somewhere in Africa.
Unga WA Yanga upo ndugu au nyie ndio watoto WA kishua? Naona huamini kabisa.Ngoja ntajaribu hata hii hii sembe ya kawaida niitie binzari ya njano.
Exactly!Better late than never.
Ingia humo usome Kama unajua kimombo!Pesa za wazungu ukiwa na maana wametupa tu tujenge au mikopo? Je hiyo miradi mikubwa imejengwa wakati wa ukoloni au baada ya ukoloni? Hapa nimetaka kujua baada ya uhuru wa mwaka 94 kule kaburu ni miradi gani mikubwa ya maana iliyofanywa na serikali ya mtu mweusi?
businesstech.co.za
Mimi mtoto wa mbwa tu Mkuu.. Ila nawish kuuona na kuuona... Ngoja nitafute mahindi Kwanza.Unga WA Yanga upo ndugu au nyie ndio watoto WA kishua? Naona huamini kabisa.
Ukiandaliwa kisasa mtamu balaa Ila ule aliousema jamaa pale juu Enzi zile ulikuwa hauliki ndio ulikuwa mashuleni boarding na sie WA class Fulani ya chini ndio ulikuwa msosi ,SASA uukute na haragwe like jekundu hakuna Mafuta! Kumbuka Enzi hizo ukikutwa umelimbikiza Mafuta, Mchele, sukari ni mhujumu uchumi. Tumetoka mbali.Mimi mtoto wa mbwa tu Mkuu.. Ila nawish kuuona na kuuona... Ngoja nitafute mahindi Kwanza.
Kijambo chake sio Cha nchi hii.
😁😁😁Kijambo chake sio Cha nchi hii.
Hahahaha.. aisee unachekesha sana ndugu yang. Hizi ni ahadi tu ila bado utekelezaji wake, kwahiyo utakiwi kukimbilia kuamini mpaka pale utakapoona vilivyoahidiwa vimefanyiwa kazi na kukamilika. Look my bro mi nipo hapa kaburu kwa takriban miaka 20 now, Kwahiyo naijua kaburu vizuri kwa 70% kuliko unavyofikiria au unavyoaminishwa na akili yako. Kama ingekuwa ahadi na mipango kama hii ulioweka hapa ndio maendeleo, basi nchi nyingi za afrika zingekuwa mbali sana kimaendeleo. Maana kila raisi wa kiafrika huja na plan nzuri na za kuvutia, lkn utekelezaji ni zero. "Wazaramo wanasema zilongwa mbali, na zitendwa mbali.. Sisi tunaoishi kaburu ndio tunaojua. Ni mara 100 Magufuli alijitahidi kufanya kile alichoahidi kwa wananchi wake kama vile kununua ndege kanunua, Kujenga flyover kajenga, kuongeza na kupanua miundo mbinu ya barabara kaongeza mpaka njia 8, kuzuia utoroshaji wa madini yetu kajenga ukuta. Kaboresha viwanja vya ndege na kuvifanya kuwa vya kisasa, kajenga stand za kisasa za mabasi katika mikoa mbali mbali japo kwa bahati mbaya amekufa hajamalizia mikoa mingine. Daraja kubwa na la kisasa Magufuli bridge, daraja kubwa la tanzanite pale salender bridge. I mean amefanya mengi ambayo mengine nimeacha kuyaweka hapa ili post isiwe ndefu sana. Ila hao wengine wameingia madarakan wamekuta tayari washawekewa kila kitu na weupe, lkn wameshindwa kumalizia hata vile vichache vilivyobaki. Je weupe wangeondoka bila kujenga kama walivyofanya kwetu unafikiri leo hii kwao kungekuwa katika hali gani? Wewe unasoma gazeti.. lkn mimi nipo ndani kabisa kama unavyoona pichani.Ingia humo usome Kama unajua kimombo!
![]()
50 major projects planned for South Africa – including a new mega city and space hub
Minister of Public Works and Infrastructure, Patricia de Lille, says that government plans to build more than 50 special infrastructure projects to boost jobs in the country.businesstech.co.za
Dar yenyewe imetushinda kupanga Jiji limekaa Kama Islamabad
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Hahaha Sasa unadhani Nani hajaishi SA?Hahahaha.. aisee unachekesha sana ndugu yang. Hizi ni ahadi tu ila bado utekelezaji wake, kwahiyo utakiwi kukimbilia kuamini mpaka pale utakapoona vilivyoahidiwa vimefanyiwa kazi na kukamilika. Look my bro mi nipo hapa kaburu kwa takriban miaka 20 now, Kwahiyo naijua kaburu vizuri kwa 70% kuliko unavyofikiria au unavyoaminishwa na akili yako. Kama ingekuwa ahadi na mipango kama hii ulioweka hapa ndio maendeleo, basi nchi nyingi za afrika zingekuwa mbali sana kimaendeleo. Maana kila raisi wa kiafrika huja na plan nzuri na za kuvutia, lkn utekelezaji ni zero. "Wazaramo wanasema zilongwa mbali, na zitendwa mbali.. Sisi tunaoishi kaburu ndio tunaojua. Ni mara 100 Magufuli alijitahidi kufanya kile alichoahidi kwa wananchi wake kama vile kununua ndege kanunua, Kujenga flyover kajenga, kuongeza na kupanua miundo mbinu ya barabara kaongeza mpaka njia 8, kuzuia utoroshaji wa madini yetu kajenga ukuta. Kaboresha viwanja vya ndege na kuvifanya kuwa vya kisasa, kajenga stand za kisasa za mabasi katika mikoa mbali mbali japo kwa bahati mbaya amekufa hajamalizia mikoa mingine. Daraja kubwa na la kisasa Magufuli bridge, daraja kubwa la tanzanite pale salender bridge. I mean amefanya mengi ambayo mengine nimeacha kuyaweka hapa ili post isiwe ndefu sana. Ila hao wengine wameingia madarakan wamekuta tayari washawekewa kila kitu na weupe, lkn wameshindwa kumalizia hata vile vichache vilivyobaki. Je weupe wangeondoka bila kujenga kama walivyofanya kwetu unafikiri leo hii kwao kungekuwa katika hali gani? Wewe unasoma gazeti.. lkn mimi nipo ndani kabisa kama unavyoona pichani.
View attachment 1987289
View attachment 1987290
View attachment 1987291
Haya mkuu...Hahaha Sasa unadhani Nani hajaishi SA?
Wewe kupiga picha kwenye Barabara unajiona mjanja au unataka na sisi tuweke picha zetu tukiwa kwenye mavikao hapo South Africa ?
Kwanza inaonekana huna la maana unalofanya hapo SA , serious investors hawana muda wa kusema SA hakijafanyika chochote kwenye jiko la kiuwekezaji !
Kama south hawajafanya lolote njoo urudi bongo uje kufanya shughuli zako huku Namtumbo
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app