Hii hapa namba yangu.

Hii hapa namba yangu.

FATAKI jenyewe ni member la JF limeuona huu uzi kupitia cm yake likajua linawindwa hivyo limesepa!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Yawezekana muuza ubuyu! Mbona updates zimepotea ghafla
 
Last edited by a moderator:
FATAKI jenyewe ni member la JF limeuona huu uzi kupitia cm yake likajua linawindwa hivyo limesepa!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Poripori kama hilo haliwezi kuwa GREAT THINKER!
Hivi utaanzaje kutongoza kitoto cha shule na sare Kweli mafataki hayana huruma!
 
kuna uwezekano ikawa kama ile movie ya yule MJESHI alietukesesha siku tatu tunafuatilia movie
 
Jamani huyu mtu anaeitwa Joseph Isaack kaishia wapi na story yake? au ndio kibao kimemgeukia akawekwa rumande?
 
Itakuwa jamaaa cm imeisha charge so lazima apotee! !!😀😀😀🙁😀
 
Rimewekwa rokapu mura, rinachezea geshi ra polishi
 
mkuu wewe mkondo huo haupo kweli nakuona upo bize sana kule jukwaa la chini!

Dah, hapa nimecheka sana, We Henge wewe umemjuaje, halafu kule kuna tool box linaelekeza maeneo ya huduma na sio sehemu zinazopatikana watoto wa Shule.
 
Wana Jf habarini za asabuhi! Najuwa wote hm mmeamka vema kwa ajili ya mishemishe za j3. Nipo kwenye daladala muda natokea Mwanzacity naelekea Magu na nimekaa kiti cha nyuma kabisa. Pembeni yangu kuna bwana mmoja mtu mzima kakaa siti ya dirishani na yupo na mwanafunzi mmoja ametinga uniform anaenda shule na anaonekana kama si form one basi ni form two. Huyu bwana yuko anamsaundisha huyo dent na mazungumzo yapo hivi,.... Jamaa...vipi unaenda shule? ..dent...ndiyo! Jamaa... Unasoma wapi?...dent....Kandawe sec. Mara jamaa akaandika namba ya cm kwenye tiketi na kumkabidhi dent...namba yangu hii nitafute tuongee zaidi...dent..mi sina cm. Jamaa...aah si utaazima hata kwa rafiki yako...dent..wote hawana cm . ...jamaa...basi unaonaje tukapitiliza tukashuke magu na nitakupa nauli ya kurudia kwani mimi naenda magu...dent kainamia siti bila kutoa jibu. Mazungumzo yao yanaendelea ngoja nitawajuza kitakachotokea kama dent a tapitiliza au la,

Hao kwa style hiyo watakuwa wamepitilizwa kituo wameshukia Lamadi ama Bunda kabisa na kama sio mjini Msoma
 
Haa! Nijuzeni wenzangu muvi inaendeleaje maana nimesubiri mpaka nimesinzia yaani ndio nashtuka sasa hv.
 
Dah, hapa nimecheka sana, We Henge wewe umemjuaje, halafu kule kuna tool box linaelekeza maeneo ya huduma na sio sehemu zinazopatikana watoto wa Shule.
Jamaa ni maarufu sana jukwaa lile!
 
Jamaa kaingia mitini, watu kama nyie hamtufai hapa jamiiforums, mambo gani ya kuleta kitu nusu nusu? Kama vipi Invisible fanya kazi yako, watu kama hawa wakina Joseph Isaack unapiga BAN tu.
 
Back
Top Bottom