Hii hapa namba yangu.

Hii hapa namba yangu.

Wana Jf habarini za asabuhi! Najuwa wote hm mmeamka vema kwa ajili ya mishemishe za j3. Nipo kwenye daladala muda natokea Mwanzacity naelekea Magu na nimekaa kiti cha nyuma kabisa. Pembeni yangu kuna bwana mmoja mtu mzima kakaa siti ya dirishani na yupo na mwanafunzi mmoja ametinga uniform anaenda shule na anaonekana kama si form one basi ni form two. Huyu bwana yuko anamsaundisha huyo dent na mazungumzo yapo hivi,.... Jamaa...vipi unaenda shule? ..dent...ndiyo! Jamaa... Unasoma wapi?...dent....Kandawe sec. Mara jamaa akaandika namba ya cm kwenye tiketi na kumkabidhi dent...namba yangu hii nitafute tuongee zaidi...dent..mi sina cm. Jamaa...aah si utaazima hata kwa rafiki yako...dent..wote hawana cm . ...jamaa...basi unaonaje tukapitiliza tukashuke magu na nitakupa nauli ya kurudia kwani mimi naenda magu...dent kainamia siti bila kutoa jibu. Mazungumzo yao yanaendelea ngoja nitawajuza kitakachotokea kama dent a tapitiliza au la,

hao watu wa type ya jamaa huyo ni wale wasoweza kuwa na ushawishi kwa proper age.its a coward style of life,to hell!!!!
 
simu imeisha chaji mtoa mada katokomea
kesho uje utupe updates imekwendaje
 
Jamaa katokomea, inawezakana mwenyewe ndiye aliyekuwa anamsaundisha huyo dent.
 
fanta baby karibu
mbona unaingia anga zetu bila kubisha hodi jukwaa lile?
fanya hivo kama bado
mtoa mada alikuwa kwa daladala bila shaka simu yake ya mchina orijinali chaji imeisha
tumemsubiri hadi sasa hajatokea
UOTE=fanta baby;5464961]upo sawa ulijuaje![/QUOTE]
 
ikeishia wapi hii movie

hao watu wa type ya jamaa huyo ni wale wasoweza kuwa na ushawishi kwa proper age.its a coward style of life,to hell!!!!

kama kuna ukweli vile!!! maana mleta uzi kapotelea.

hata CHAI CHUNGU ana afadhali alikuwa anarudi kuliko huyu Joseph Isaack.

Jamaa katokomea, inawezakana mwenyewe ndiye aliyekuwa anamsaundisha huyo dent.

Jamaa alikua anatoa move.atarudi kuimalizia.

Dent kuinama keshaubali kwani we hujui hizo

Huyu jamaa hamtakaa mmuone tena JF kwa bahati mbaya. Saa hizi anaongelea gambush... Chezeya wasukuma wewe na unoko wako... keshamalizwa habari yake...
 
Huyu jamaa hamtakaa mmuone tena JF kwa bahati mbaya. Saa hizi anaongelea gambush... Chezeya wasukuma wewe na unoko wako... keshamalizwa habari yake...


No jamaa naye kapewa kitu kidogo kaingia mitini, lile ni fataki la kimataifa mzee.
 
Back
Top Bottom