Hii hapa namba yangu.

Hii hapa namba yangu.

Dah hii ishu jamaa ametukatili amgempata kamanda hapo akamkabidhi ili awafuatilie hawa jamaa
 
Hili jamaa jinga! Sana linashindwa kwenda malimbe!kutafuta wa2 wazima linaangaika na hicho kitoto!
 
Jamaa kapata mlungula nini nchi kwa rushwa hii naye kapotea!
 
Vema ngoja nifanye hivyo , lakini pale stand ya magari magu kuna kituo kidogo cha polisi, sijui niwaunganishe na mchongo huo au nyinyi mnasemaje wakuu?



mkuu kumbe uko karibu na kituo cha polisi,
peleka haraka hilo fataki likakione cha moto,si linajidai lina hela acha likakutane na polisi ndo litajuta.Pale atakutana na dawati la wanawake bila shaka watamshughulikia ipasavyo.
 
Duh, huyo dent naye mbona yuko ize hivyo? Anasahau kabisa kama alikuwa anaenda shule kisa kaahidiwa simu!
 
safi sana mkuu ,ila denti kadanganywa kirahisi rahisi namna hii.

watoto wa siku hizi nao wamezidi,maadili ni zero.
Sasa sijui ndo anajua amepata kumbe amepatikana, mababu fataki nao wamezidi aaaaaaaah! hata hayaoni aibu.

 
watoto wa siku hizi nao wamezidi,maadili ni zero.
Sasa sijui ndo anajua amepata kumbe amepatikana, mababu fataki nao wamezidi aaaaaaaah! hata hayaoni aibu.
Mkuu anatamani kuwa na simu na yeye kama wazazi wanasema anataka kumuacha mke/mume kwa sababu ya kufuja pesa na huyu mtoto anaahidiwa kupata pesa, afanyeje? tunawafundisha watoto wetu kuwa maisha ni pesa na yeye anauchumi atautumia tuu. tubadili mawazo yetu tuwalinde watoto wetu.
 
Isaac, angalia nafsi yako usije jikuta mmeshea ze spoil (just kidding) any updates?
 
Wana Jf habarini za asabuhi! Najuwa wote hm mmeamka vema kwa ajili ya mishemishe za j3. Nipo kwenye daladala muda natokea Mwanzacity naelekea Magu na nimekaa kiti cha nyuma kabisa. Pembeni yangu kuna bwana mmoja mtu mzima kakaa siti ya dirishani na yupo na mwanafunzi mmoja ametinga uniform anaenda shule na anaonekana kama si form one basi ni form two. Huyu bwana yuko anamsaundisha huyo dent na mazungumzo yapo hivi,.... Jamaa...vipi unaenda shule? ..dent...ndiyo! Jamaa... Unasoma wapi?...dent....Kandawe sec. Mara jamaa akaandika namba ya cm kwenye tiketi na kumkabidhi dent...namba yangu hii nitafute tuongee zaidi...dent..mi sina cm. Jamaa...aah si utaazima hata kwa rafiki yako...dent..wote hawana cm . ...jamaa...basi unaonaje tukapitiliza tukashuke magu na nitakupa nauli ya kurudia kwani mimi naenda magu...dent kainamia siti bila kutoa jibu. Mazungumzo yao yanaendelea ngoja nitawajuza kitakachotokea kama dent a tapitiliza au la,

Fataki hilo kwa nn usilishughulikie?
 
Back
Top Bottom