Hii hapa namba yangu.

Hii hapa namba yangu.

muda ww omba namba ya ocs tu na uondoke nao maana ukileta story watakupotea na hii namba ya cm hakikisha iko hewani kabla ya kukimbia sawa
 
Mambo ya kutongoza tongoza watoto, unaweza kujikuta umetongoza mtoto wa mganga, na kwa hasiri baba mtu akazihamishia kwapani sehemu zako nyeti, ssijui utanjunjije sasa???
 
Wakuu lile swala limeiva, nimewatonya polisi na wamenza mchakato wa kulifuatilia na nimewaomba wahakikishe huyo mtoto hadhuriki, mimi naenda kule magu halmashauri nina shida fulani nitarudi hapa polisi post kulifuatilia na nitawajuza...
 
Wakuu lile swala limeiva, nimewatonya polisi na wamenza mchakato wa kulifuatilia na nimewaomba wahakikishe huyo mtoto hadhuriki, mimi naenda kule magu halmashauri nina shida fulani nitarudi hapa polisi post kulifuatilia na nitawajuza...

Mkuu hapo umekosea. Unajua mapolisi inaweza kuwa dili hapo. Mtu kishapata hela ya kitafunwa na mtoto anachukuliwa. Too sad!
 
Wakuu lile swala limeiva, nimewatonya polisi na wamenza mchakato wa kulifuatilia na nimewaomba wahakikishe huyo mtoto hadhuriki, mimi naenda kule magu halmashauri nina shida fulani nitarudi hapa polisi post kulifuatilia na nitawajuza...

mkuu hilo suala usingeliachia nusu ,si unajua wewe ndiyo prime witness....ungesimamia show mpaka ujue mwisho wa huyo dent na fataki
 
hao watoto nao hawaeleweki,mwisho wa siku atakugeuzia kibao aisee...
 
mkuu hilo suala usingeliachia nusu ,si unajua wewe ndiyo prime witness....ungesimamia show mpaka ujue mwisho wa huyo dent na fataki

mkuu wala usiwe na wasiwasi yule askari amesema atalifanyia kazi,na pia nimemtonya mama fulani hapa ambae ni Katibu wa kinamama wa CCM wako na yule askari wanafuatilia hii movie kwa ukaribu. Namuona jamaa na yule dent wanaelekea kwenye stand ya waendesha bodaboda sijui wanataka kuchukua pikipiki au vipi nitawajuza...bdo nipo kidogo sijaondoka hapo stand.
 
Hii movie tamu sana, bahati mbaya director anataka kuifupisha...
 
mkuu wala usiwe na wasiwasi yule askari amesema atalifanyia kazi,na pia nimemtonya mama fulani hapa ambae ni Katibu wa kinamama wa CCM wako na yule askari wanafuatilia hii movie kwa ukaribu. Namuona jamaa na yule dent wanaelekea kwenye stand ya waendesha bodaboda sijui wanataka kuchukua pikipiki au vipi nitawajuza...bdo nipo kidogo sijaondoka hapo stand.

safi sana mkuu ,ila denti kadanganywa kirahisi rahisi namna hii.
 
usikute nawe unatamani, kama sivyo chukua hatua
 
Picha za 'pedophile' tafadhali ... ulaya huwa wanakula 'mvua' za kutosha hao mbwa mwitu!Huwa wanasema ni hatari sana kwa jamii na wakitoka wanawekwa katika uangalizi maalumu huku wakizuiwa kabisa kusogelea maeneo yote yenye watoto kama kanisani, shule, park ....
 
Mkuu hebu tafuta na waandishi wa habari wa star TV ama TV station yoyote ili wafanye kazi make likisharushwa hewani hata kama na askari watawaza kula pesa ya huyo fataki washindwe! Tunahitaji breaking newz sasa hivi ili washenzi hao wapunguze kasi ya kuharibu watoto!
Vile vile tusimlaumu sana huyo mtoto kwani ni watoto wachache sana wa umri huo (I guess she is 14 or 15 yrs old hivyo bado hajajitambua! Okoa kiumbe cha Mungu mkuu!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Joseph Isaack, any updates?

TAMWA, TAWLA au any credible NGO ya masuala ya haki za binadamu zinaofisi hapo Magu. Wakimtia mikononi huyo mtu hao wadau wa haki za binadamu ni vema wakahabarishwa hili haki ya msingi ya binti huyo isimamiwe na kulindwa vyema si unajua tena polisi wamepoteza uaminifu kwa wananchi.
 
Kuna uwezekano jamaa akakata utepe.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom