R_Breazy
Member
- Aug 28, 2025
- 47
- 72
Heri ya siku kuu ya krisimasi ndugu zangu. Hope nyote mko salama
Life ni gumu kuzidi kupambana kila siku ila tusisahau kuhusu maua mazuri ambayo mwenyezi Mungu katubariki Tanzania na duniani kote.
Hatua zote za kumpata binti kwangu kuna hili moja huwa inanisumbua sana, huwa inanitokeaa hasa nikikutana na mrembo class fulani au wale wanaonipa wakati mgumu time ya kumshawishi hadi akubaliane na mawazo yangu.
To cut story kuna kamanzi nimekafukuzia kama wiki moja kila nilipokuwa nakibana jibu "SUBIRI NITAKUPA JIBU" sikuwa na haraka hadi jana ndio kamenipa jibu la YES kiuhalisia tangu hiyo jana nimekosa swagga nzuri ya kukaeleza nije kula mali.
NI jirani yangu kiukweli nyumba moja tu tunatofautiana ni kazuriii hadi nakosa namna nzuri ya kukaomba show wakuu.😁😁
Nipeni tips nzuri nkakule before vyuo avijafunguliwa, mwanzo mgumu
Life ni gumu kuzidi kupambana kila siku ila tusisahau kuhusu maua mazuri ambayo mwenyezi Mungu katubariki Tanzania na duniani kote.
Hatua zote za kumpata binti kwangu kuna hili moja huwa inanisumbua sana, huwa inanitokeaa hasa nikikutana na mrembo class fulani au wale wanaonipa wakati mgumu time ya kumshawishi hadi akubaliane na mawazo yangu.
To cut story kuna kamanzi nimekafukuzia kama wiki moja kila nilipokuwa nakibana jibu "SUBIRI NITAKUPA JIBU" sikuwa na haraka hadi jana ndio kamenipa jibu la YES kiuhalisia tangu hiyo jana nimekosa swagga nzuri ya kukaeleza nije kula mali.
NI jirani yangu kiukweli nyumba moja tu tunatofautiana ni kazuriii hadi nakosa namna nzuri ya kukaomba show wakuu.😁😁
Nipeni tips nzuri nkakule before vyuo avijafunguliwa, mwanzo mgumu