Ujawah kukumbana na warusi wa jf vita yao haiishi mpaka iishe 😅😅😅Sio kwelii😂😂😂 mi nnaa vita ngano jmn
Usijikatae nilikuona JUZI kwenye kikao cha usiku 😅😅😅Hapana mipaka yetu inaanzia hapo sisi ndugu tu😅
Ni kweli mkuu nilisahau ghalama ya vifaa nikakumbuka ghalama ya dawa tu sikujua dawa bila dhana kumbe haifanyi kazi itabidi alete laki 3 na hamsini tumalize kazi.Hata mimi nimezama kiroho nimeliona tatizo hilo
tumsaidie huyu mkuu
mimi sihitaji hela yake atachangia gharama ya vifaa laki 3 tu anapona!!
Mbona ntakoma!! Vita vya moja kwa moja mi sivitaki😂Ujawah kukumbana na warusi wa jf vita yao haiishi mpaka iishe 😅😅😅
Aaanh we ndio ulitua na ungo tumeshaanza kikao😂💔Usijikatae nilikuona JUZI kwenye kikao cha usiku 😅😅😅
nilichelewa kufika si unajua matrafki walinikamata 😅Aaanh we ndio ulitua na ungo tumeshaanza kikao😂💔
Au wese lilikata🤭nilichelewa kufika si unajua matrafki walinikamata 😅
Shida ni kwamba asilimia kubwa ndoto huwa katika mafumbo au tuseme lugha ya ndoto ni metaphor, kwahiyo unaweza ukawa uliota ndoto kuhusu jambo ila usijui ukapotezea kwa sababu ya kushindwa kuelewa lugha ya ndoto na ukaishia kusema haujaona jambo lolote.Hebu wewe nenda hiyo safari halafu urudi kutupa mrejesho ili nasisi tujifunze kama inawezekana tuwe tunazipuuzia ndoto au tuwe tunazichukulia maanani
Katika hili mrejesho ni muhimu mkuu
Hamna ila we mzoefu halaf ulikuwa unakataa au ndiyo utaki ujulikaneAu wese lilikata🤭
Mi mzee wa kanisa punguza sauti basi🙆🏽♀️Hamna ila we mzoefu halaf ulikuwa unakataa au ndiyo utaki ujulikane
Mwisho wa siku kila mmoja kama anaweza kufanikisha mambo yake au kutatatu changamoto zake kwa msingi wa vile alivyochagua kuamini hilo ndio jambo la msingi.Hii statement imefanya kwa muda mrefu niamini hakuna uchawi Wala majini ni mitizamo ya watu Tu!