Au tufanye hivi tatizo si kupanga hivyo tusipange we njoo kwa kushtukiza au nitume watu wakuteke😁Kwani nimekuwa bundi😂
Watekaji tupo 🫡Au tufanye hivi tatizo si kupanga hivyo tusipange we njoo kwa kushtukiza au nitume watu wakuteke😁
vizuri sana, kesho weekend hii nahitaji kazi ifanyike 😁Watekaji tupo 🫡
Sawa ila si unajua utekaji una process ndefu Kwahiyo nitamleta jumatano mkuu 🫡vizuri sana, kesho weekend hii nahitaji kazi ifanyike 😁
Hamna shida cha muhimu afike ndani ya wiki ijayo 😁Sawa ila si unajua utekaji una process ndefu Kwahiyo nitamleta jumatano mkuu 🫡
😅
Kwanza wewe kama muotaji wa hiyo ndoto unapata hisia gani kuhusu hiyo ndoto?Inaweza kumaanisha nini
Zee la fursaWatekaji tupo 🫡
S umenifundisha wewe 😅Zee la fursa
Unatembea na concept sio..S umenifundisha wewe 😅
Iyo wewe kazi kwako, sema jifunze kusoma alama za nyakatiPlan nimeghairi
Kabisa me si mwanafunzi wakoUnatembea na concept sio..
Hapa umetumia terminology 'mtu' kama kivuli cha taarifa kuficha identity yake!Habari
Nafupisha hii mada
Kuna huyu mtu nilipanga kumtembelea kwanzia December nitoke mkoa A mpka mkoa B
Things went as we planned...ila cha kushangaza tukiplan kuhusu hio safari nikilala tu naota ajali tu ikabidi nimwambie sikukuu ziishe Hali irudi kawaida nitamtembelea...
Tukazidi kujipanga huku tukisubiri kuvuka mwaka wa 2026 uishe .....
Tatizo linaanza tu tukiongelea tu hio safari naota ndoto za kutisha kama nimepata ajali na nimefariki ..
Hii ni ndoto tu au Kuna ujumbe ndani yake maana nimeota zaidi ya mara tatu......
Ni mchumbaHapa umetumia terminology 'mtu' kama kivuli cha taarifa kuficha identity yake!
Tumjue kwanza 'mtu' huyo ni best friend tu wa nia au ni mbebes?
Kama ni rafiki wa kawaida geuza mfumo wa namna ya kukutana naye, ikiwezekana umshauri yeye ndiye afunge safari kuja kwako kama ambavyo wengine wameshauri.
Kama ni mbebes na hujawahi 'kupiga', tafakari upya mahusiano hayo.
BASI USIENDE, SIKILIZA MOYO WAKO UNAVOKUAMBIA. HUENDA ANAENDA KUKUCHUKULIA VITU VYAKO KIROHO AMA NYOTA YAKO.Undecided