Hii elimu bure ya Magufuli watoto wao wanasoma hizo shule za bure? Ndugu zao wanafundisha huko? Inatusaidia kimaendeleo? Inaendana na teknolojia?

Elimu ni maarifa yanayofundishwa toka kizazi kimoja hadi kingine katika kuhama na tabia, mwenendo, ujuzi, maarifa na sayansi ya kubadli mazingira yawe ya manufaa kwa umma.

Huwa najiuliza hii elimu inayosifiwa kuwa ni ya bure.

Kiuhalisia hii sio elimu bure kama wanavyosema maana kuondoa ada haimaanishi elimu ni burebali bila malipo ya ada lakini mambo mengine kama daftari, kalamu, nauli nk mzazi bado anagharikia ila ile elimu ya Nyerere ndio ilikuwa bure maana vyote vililipiwa na serikali. Tuliosoma enzi zile utakumbuka kuna daftari lilisomeka "haliuzwi"

Bado najiuliza hii elimu ya sasa ni watoto wangapi wa vigogo wanasoma hizo shule za elimu bure? Kuanzia rais na viongozi wote wa kisiasa tujue wanavyotunga sheria na mitaala kama ina tija hadi watoto wao wasome katika shule hizi za bure italeta sensi ya kuwa wametuletea vitu vya maana.

Pili hizi shule za bure kuna ndugu wa karibu mfano wake, waume, kaka, dada wa hao viongozi wanafundisha katika shule hizi?

Tatu. Hizi shule kwa elimu inayotolewa inaendana na kasi ya dunia ya teknolojia? Tunachofundiaha kina shabihiana na dunia tuliyopo? Elimu yetu tukienda china, uingereza tunaweza kuapambana nao kwenye uvumbuzi na ajira?

Je vyuoni tuna vifaa vya kisasa vya kufundishia au bado tuko analogy na vifaa vya mwalimu nyerere ndio tinafundishia karne hii? Bado tuna xray wakati wenzetu wana ctscan, mri nk?

Shule zetu za technical zikoje je zinavifaa vya karne hii au bado tuna enzi ya mwalimu ambapo tunawataka wakitoka wajiajiri lakini wao wameajiriwa nawananchi?
Kwani wewe umesoma shule?
 
Hapa tunajadili elimu ya tanzania inamanufaa kwa kizazi hiki? Je kama inamanufaa je watoto wa watunga sera wanasoma hizo shule?
yes,ukileta mjadala kama huu ndo utaonekana kuwa matured na siyo kuleta majungu kwa watu,,,,,,!!!manufaa ya elimu yanapimika kulingana na mtu anayatafsiri vipi manufaa,,,,manufaa hayo yapo ktk levels za mtu,familia na ngazi ya jamii (taifa),,,,,,!!ktk ngaz ya mtu manufaa ya elimu Tanzania kila mmoja atajijibu kwa kulingana na wapi elimu yake imemuweka na anadhani anajitendea haki na anaitendea haki elimu yake akiwa pale alipo????kwa mawazo yangu naomba niongelee ngazi ya jamii (kitaifa),nadhan bado tunahaja ya kuuangalia mustakabali wa elimu yetu kama taifa,,,,,toka Uhuru taifa limezalisha watu wengi sana wa kada mbali mbali lakin hizo products zinaisaidaje nchi???je wanaikomboa nchi au wanaiangamiza nchi???tuulizane kwa pamoja nini kifanyike ktk elimu yetu ili kila MTU anayeandaliwa kuwa mtaalamu ktk kada Fulani awe msaada kwa taifa na asiwe disaster????mjadala ni mpana kwelkweli
 
Saa zingine tuache ujinga. Elimu bure wanasoma wasio na Uwezo. Kama una uwezo huwezi enda peleka mtoto elimu bure ndio maana hata wao watoto wao hawasomi shule za kukariri ili ziwe za kwanza kitaifa. Wanawapeleka wakapikwe Feza.
Wanasiasa wengi watoto wao wako Feza Salasala na Kawe Polisi.
Magufuli mtoto wake yuko Feza Polisi Kawe Form 2
 
Elimu ni maarifa yanayofundishwa toka kizazi kimoja hadi kingine katika kuhama na tabia, mwenendo, ujuzi, maarifa na sayansi ya kubadli mazingira yawe ya manufaa kwa umma.

Huwa najiuliza hii elimu inayosifiwa kuwa ni ya bure.

Kiuhalisia hii sio elimu bure kama wanavyosema maana kuondoa ada haimaanishi elimu ni burebali bila malipo ya ada lakini mambo mengine kama daftari, kalamu, nauli nk mzazi bado anagharikia ila ile elimu ya Nyerere ndio ilikuwa bure maana vyote vililipiwa na serikali. Tuliosoma enzi zile utakumbuka kuna daftari lilisomeka "haliuzwi"

Bado najiuliza hii elimu ya sasa ni watoto wangapi wa vigogo wanasoma hizo shule za elimu bure? Kuanzia rais na viongozi wote wa kisiasa tujue wanavyotunga sheria na mitaala kama ina tija hadi watoto wao wasome katika shule hizi za bure italeta sensi ya kuwa wametuletea vitu vya maana.

Pili hizi shule za bure kuna ndugu wa karibu mfano wake, waume, kaka, dada wa hao viongozi wanafundisha katika shule hizi?

Tatu. Hizi shule kwa elimu inayotolewa inaendana na kasi ya dunia ya teknolojia? Tunachofundiaha kina shabihiana na dunia tuliyopo? Elimu yetu tukienda china, uingereza tunaweza kuapambana nao kwenye uvumbuzi na ajira?

Je vyuoni tuna vifaa vya kisasa vya kufundishia au bado tuko analogy na vifaa vya mwalimu nyerere ndio tinafundishia karne hii? Bado tuna xray wakati wenzetu wana ctscan, mri nk?

Shule zetu za technical zikoje je zinavifaa vya karne hii au bado tuna enzi ya mwalimu ambapo tunawataka wakitoka wajiajiri lakini wao wameajiriwa nawananchi?
Tibaigana
 
Mkuu unatulisha matango pori mbuyuni ni shule ya serikali Ila most wanasoma watoto wao tu nenda vijijini huko
mke wa magu alikuwa anafundisha mbuyuni,


mtoto wa mdogo wake Magu, mdogo wake anaitwa gorodiani ninafundisha nae shule moja ya kijiji,

kimsingi mzee magu hamumujui vizuri.

ni bonge la socialist
 
Mkuu unatulisha matango pori mbuyuni ni shule ya serikali Ila most wanasoma watoto wao tu nenda vijijini huko
kakulisha tango pori gani hapo,mbona kasema tu kuwa mke wa magufuli alikuwa anafundisha shule ya umma (salasala p/s) na akasema yy anafundisha shule moja na mdogo wake magu huko kijijini,sasa kama unadhani ni tangopori hebu mpinge kwa hoja ili tuone kama kweli haubweki tu kwny hoja yake
 
Mwisho wa yote mtihani wa mwisho hutoka serikakini kwa kuwapima watahiniwa wote bila kujali u private au public schools
 
Elimu ni maarifa yanayofundishwa toka kizazi kimoja hadi kingine katika kuhama na tabia, mwenendo, ujuzi, maarifa na sayansi ya kubadli mazingira yawe ya manufaa kwa umma.

Huwa najiuliza hii elimu inayosifiwa kuwa ni ya bure.

Kiuhalisia hii sio elimu bure kama wanavyosema maana kuondoa ada haimaanishi elimu ni burebali bila malipo ya ada lakini mambo mengine kama daftari, kalamu, nauli nk mzazi bado anagharikia ila ile elimu ya Nyerere ndio ilikuwa bure maana vyote vililipiwa na serikali. Tuliosoma enzi zile utakumbuka kuna daftari lilisomeka "haliuzwi"

Bado najiuliza hii elimu ya sasa ni watoto wangapi wa vigogo wanasoma hizo shule za elimu bure? Kuanzia rais na viongozi wote wa kisiasa tujue wanavyotunga sheria na mitaala kama ina tija hadi watoto wao wasome katika shule hizi za bure italeta sensi ya kuwa wametuletea vitu vya maana.

Pili hizi shule za bure kuna ndugu wa karibu mfano wake, waume, kaka, dada wa hao viongozi wanafundisha katika shule hizi?

Tatu. Hizi shule kwa elimu inayotolewa inaendana na kasi ya dunia ya teknolojia? Tunachofundiaha kina shabihiana na dunia tuliyopo? Elimu yetu tukienda china, uingereza tunaweza kuapambana nao kwenye uvumbuzi na ajira?

Je vyuoni tuna vifaa vya kisasa vya kufundishia au bado tuko analogy na vifaa vya mwalimu nyerere ndio tinafundishia karne hii? Bado tuna xray wakati wenzetu wana ctscan, mri nk?

Shule zetu za technical zikoje je zinavifaa vya karne hii au bado tuna enzi ya mwalimu ambapo tunawataka wakitoka wajiajiri lakini wao wameajiriwa nawananchi?
A free education which is Knowledge free!!😁
 
Nafahamu walimu wawili wanafundisha shule ya bure, watoto wao wanasomesha shule za private(na wanajibana kweli kutafuta hiyo ada).
 
Wewe ndo unaonesha ni jinsi gani ulivo mtupu kichwani... Hebu taja eneo mbeya mjini ambalo lingeweza kungwa huo uwanja. Sehemu kubwa ya mkoa wa Mbeya ni milima na mabonde
hivi umenielewa nilichokiandika au umekuja kwa kukurupuka tu ili kuonesha ulivyo tupu kichwani???swali ni kwann uwanja ujengwe songwe nje na mbeya mjini wakati mbeya ndiyo mji wa kibiashara???katika hoja yangu umeona sehem nimeifananisha mbeya na chato???unadhani nilikuwa na sabab zingine tofauti na za kibiashara zilizopelekea uwanja wa songwe ujengwa nje ya mji wa mbeya wakati mbeya ndyo mji wa kibiashara???
 
Elimu ni maarifa yanayofundishwa toka kizazi kimoja hadi kingine katika kuhama na tabia, mwenendo, ujuzi, maarifa na sayansi ya kubadli mazingira yawe ya manufaa kwa umma.

Huwa najiuliza hii elimu inayosifiwa kuwa ni ya bure.

Kiuhalisia hii sio elimu bure kama wanavyosema maana kuondoa ada haimaanishi elimu ni burebali bila malipo ya ada lakini mambo mengine kama daftari, kalamu, nauli nk mzazi bado anagharikia ila ile elimu ya Nyerere ndio ilikuwa bure maana vyote vililipiwa na serikali. Tuliosoma enzi zile utakumbuka kuna daftari lilisomeka "haliuzwi"

Bado najiuliza hii elimu ya sasa ni watoto wangapi wa vigogo wanasoma hizo shule za elimu bure? Kuanzia rais na viongozi wote wa kisiasa tujue wanavyotunga sheria na mitaala kama ina tija hadi watoto wao wasome katika shule hizi za bure italeta sensi ya kuwa wametuletea vitu vya maana.

Pili hizi shule za bure kuna ndugu wa karibu mfano wake, waume, kaka, dada wa hao viongozi wanafundisha katika shule hizi?

Tatu. Hizi shule kwa elimu inayotolewa inaendana na kasi ya dunia ya teknolojia? Tunachofundiaha kina shabihiana na dunia tuliyopo? Elimu yetu tukienda china, uingereza tunaweza kuapambana nao kwenye uvumbuzi na ajira?

Je vyuoni tuna vifaa vya kisasa vya kufundishia au bado tuko analogy na vifaa vya mwalimu nyerere ndio tinafundishia karne hii? Bado tuna xray wakati wenzetu wana ctscan, mri nk?

Shule zetu za technical zikoje je zinavifaa vya karne hii au bado tuna enzi ya mwalimu ambapo tunawataka wakitoka wajiajiri lakini wao wameajiriwa nawananchi?
Wacha kuponda Jee wewe unapendekeza nini kifanyike????
 
Wewe ndo unaonesha ni jinsi gani ulivo mtupu kichwani... Hebu taja eneo mbeya mjini ambalo lingeweza kungwa huo uwanja. Sehemu kubwa ya mkoa wa Mbeya ni milima na mabonde
huna chochote unachokijua mjinga wewe,unajua kuwa uwanja wa songwe ulijengwa kimkakati kipindi tz na Malawi zikiwa kwny tension kuhusu mpaka wa ziwa Nyasa ili kuruhusu fighting flights kutua hapo???unajua kuwa uongoz wa jk uliingia kwny tension na uongoz wa p kagame miaka ile??chato ndo ilikuwa option ya kujengwa uwanja ktk ukanda ule kwaajili ya mikakati ambayo huijui,,,,,,,!!!acha kujitia mjuaji wakati kichwani mwako ni patupu,
 
Idiot
huna chochote unachokijua mjinga wewe,unajua kuwa uwanja wa songwe ulijengwa kimkakati kipindi tz na Malawi zikiwa kwny tension kuhusu mpaka wa ziwa Nyasa ili kuruhusu fighting flights kutua hapo???unajua kuwa uongoz wa jk uliingia kwny tension na uongoz wa p kagame miaka ile??chato ndo ilikuwa option ya kujengwa uwanja ktk ukanda ule kwaajili ya mikakati ambayo huijui,,,,,,,!!!acha kujitia mjuaji wakati kichwani mwako ni patupu,
 
Elimu ni maarifa yanayofundishwa toka kizazi kimoja hadi kingine katika kuhama na tabia, mwenendo, ujuzi, maarifa na sayansi ya kubadli mazingira yawe ya manufaa kwa umma.

Huwa najiuliza hii elimu inayosifiwa kuwa ni ya bure.

Kiuhalisia hii sio elimu bure kama wanavyosema maana kuondoa ada haimaanishi elimu ni burebali bila malipo ya ada lakini mambo mengine kama daftari, kalamu, nauli nk mzazi bado anagharikia ila ile elimu ya Nyerere ndio ilikuwa bure maana vyote vililipiwa na serikali. Tuliosoma enzi zile utakumbuka kuna daftari lilisomeka "haliuzwi"

Bado najiuliza hii elimu ya sasa ni watoto wangapi wa vigogo wanasoma hizo shule za elimu bure? Kuanzia rais na viongozi wote wa kisiasa tujue wanavyotunga sheria na mitaala kama ina tija hadi watoto wao wasome katika shule hizi za bure italeta sensi ya kuwa wametuletea vitu vya maana.

Pili hizi shule za bure kuna ndugu wa karibu mfano wake, waume, kaka, dada wa hao viongozi wanafundisha katika shule hizi?

Tatu. Hizi shule kwa elimu inayotolewa inaendana na kasi ya dunia ya teknolojia? Tunachofundiaha kina shabihiana na dunia tuliyopo? Elimu yetu tukienda china, uingereza tunaweza kuapambana nao kwenye uvumbuzi na ajira?

Je vyuoni tuna vifaa vya kisasa vya kufundishia au bado tuko analogy na vifaa vya mwalimu nyerere ndio tinafundishia karne hii? Bado tuna xray wakati wenzetu wana ctscan, mri nk?

Shule zetu za technical zikoje je zinavifaa vya karne hii au bado tuna enzi ya mwalimu ambapo tunawataka wakitoka wajiajiri lakini wao wameajiriwa nawananchi?
Mke wa mkuu si alikuwa mwalimu shule ya msingi.
 
Shule nyingi za kata kwa maana za bure wanafunzi wake wanafanya vizuri sana kwenye masomo na hasa kwenye maisha wako very critical makazini kuliko hao mnaowaita English Medium. Tunawaona huku makazini wengi wao wanajua kucopy na kupaste ukimuliza kwanini umefanya hivi hawezi kukupa sababu ya maana wanajua sana kugoogle. Lakini hawa wa kayumba wanafikiri sana kabla ya kufanya kitu ndiyo maana wakijua kitu wanakuwa wamekijua kwelikweli. Hayo ndiyo maoni yangu mkuu!

Acha hizo wewe, nani katika cooperate companies anashikilia cheo cha maana katoka Kayumba. Kayumba wanauwezo wa kukariri tuu. Nipe mifano mitatu au tano hapa. Halafu mie nikupe mifano mia hapa hapa bongo. Shule za serikali zina matatizo na product zake haziwezi kupambana nje ya TZ
 
Mimi sio mkazi na wala sjawahi kufika chato ila kuhusu hili la airport kujengwa chato nadhan pia tungewaza kwanini international airport ilijengwa songwe na siyo mbeya,nadhan watu hawahoji sana kuhusu uwanja wa songwe sabab kikwete aliujenga halafu akawa hatokei songwe,ndo maana kelele ni chache au hazipo kuhusiana na uwanja wa songwe,,,,,,,!kitu msichokijua hii ilikuwa ni mikakati ambayo rais yeyote angetekeleza,hata kama lowassa angepita angeujenga uwanja huu ila kelele zisinhekuwepo sabab yy anatokea monduli,mkizipata sabab za kujengwa uwanja wa songwe mtazipata sabab za chato airport,mnadandia sana visabab vya kijinga visivyo na mashiko

Songwe yalikuwa maandalizi ya Profesa Mwandosya kuwa Rais.

Mlivyomkata, uwanja ukabaki kuwepo ila hauna faida sana kama kutumiwa na Rais aendapo kwao.
 
Watoto wake wanasoma huko?
Mke wa Magu alikuwa anafundisha mbuyuni,


Mtoto wa mdogo wake Magu, mdogo wake anaitwa gorodiani ninafundisha nae shule moja ya kijiji,

Kimsingi mzee magu hamumujui vizuri.

Ni bonge la socialist
 
Back
Top Bottom