nzalendo
Platinum Member
- May 26, 2009
- 12,901
- 14,611
hizi sifa si za nchi hii
bwana wewe
hapa bongo kazi zinazolipa ni
1.ubunge,uwaziri na siasa kwa ujumla
2.migodini
3.miradi kwa mfano kwenye ujenzi wa barabara, hasa kitengo cha mafuta.
4.kuendesha mitambo mbalimbali inayotumia diesel hapa wanapiga videbe( ni fedha)
mkuu kwa nchi yetu hii ya bongo humo ndo kwenye fedha.
Hizo taaluma kwa hapa bongo hazithaminiwi na ndio maana wataalamu wengi hukimbia!!!!
bwana wewe
hapa bongo kazi zinazolipa ni
1.ubunge,uwaziri na siasa kwa ujumla
2.migodini
3.miradi kwa mfano kwenye ujenzi wa barabara, hasa kitengo cha mafuta.
4.kuendesha mitambo mbalimbali inayotumia diesel hapa wanapiga videbe( ni fedha)
mkuu kwa nchi yetu hii ya bongo humo ndo kwenye fedha.
Hizo taaluma kwa hapa bongo hazithaminiwi na ndio maana wataalamu wengi hukimbia!!!!