Highest Paying Jobs in Tanzania

Highest Paying Jobs in Tanzania

kwa utafiti wangu nimegundua kuwa kazi zifuatazo zinalipa 1.C.E.O(Directors),2.doctors 3.lawyers(jaudges&advocates) 4.soldiers 5.engineers 6.politicians 7.managers 8.accountants .

hapo namba 8 nadhani kulipa unazungumzia kuibaiba pesa, kwa tz profesionals za miaka mitatu zote malipo yanalingana, kama ni serikalin wote wanaanza na Tgs D ,katika mashirika ya umaa hivyo hivyo accounts mshahara wake unalingana na IT , procurements, na wengineo waliosoma chuo miaka mitatu tofauti itakuja katika kupata pesa za ziada ukiacha mshahara kitu ambacho kinategemea na ofisi unayofanya kazi.
 
kwa utafiti wangu nimegundua kuwa kazi zifuatazo zinalipa 1.C.E.O(Directors),2.doctors 3.lawyers(jaudges&advocates) 4.soldiers 5.engineers 6.politicians 7.managers 8.accountants .

we hujitambui nadhani . unafanya kazi gani we jamaa?
 
Cyo kazi zote zinazosomewa miaka mitatu zina mshahara sawa hata huko serikalini! Mwenye degree ya ualimu haanzi na scale kama ya uhasibu!
 
kwa utafiti wangu nimegundua kuwa kazi zifuatazo zinalipa 1.C.E.O(Directors),2.doctors 3.lawyers(jaudges&advocates) 4.soldiers 5.engineers 6.politicians 7.managers 8.accountants .

Bongo movie na bongo fleva mbona umewasahau,nasikia show moja wanapata milioni kumi kwa mujibu wa magazeti ya shigongo
 
Utabibu unalipa? Kina Prof. Mwakyusa wandeenda kusugua bench Dodoma?
Siasa, biashara ya madawa ya kulevya, na meno ya tembo na ujambazi ndizo kazi zinazolipa na ambazo kwa bongo sasa! Try one of them dude and if you are luck enough ukiweza kuwekeza kwenye zote basi umetoka!
 
Uchungaji ndio Unalipa kuliko Vyote, Ukiweza kukodi eneo tu na ukataja Neno la Yesu na Kutengeneza Misikule feki utakuwa umetoka.
 
Kazi ya Pastor jamanli inalipa zaidi kuliko zote hizo ulizoorodhesha
hususan ukifungua kanisa lako mwenyewe na umeengeza aya
kwenye bible kuhalalisha Ushoga.Jirani yangu mmoja hapa ni
kilielezole tosha.
 
kwa utafiti wangu nimegundua kuwa kazi zifuatazo zinalipa 1.C.E.O(Directors),2.doctors 3.lawyers(jaudges&advocates) 4.soldiers 5.engineers 6.politicians 7.managers 8.accountants .


Hapo umechemka mbaya! wanajeshi?
 
ufinyu wa mawazo ndio inaowasumbua vijana wengi hasa hasa walio vyuoni!!! .kwanza mtoa maada kachanganya taaluma na vyeo!! hii inaonuesha wazi kwamba hajui afanyalo.

kazi inayolipa ni ya kujiajiri mwenyewe.
Asante. Huyu mwanzisha mada haelewi alichoandika. Hivi duniani kazi ya u- manager na u-director utaipata wapi? Na nitaaluma gani walizonazo hao watu?
 
Umechanganya changanya ila siyo mbaya. Kazi zinazolipa zina itwa MOTO ama FIRE (Finance, Insurance, Real Estate and Entrepreneurship). Ukisema Law (Judges and Advocates), it is too broad, ni wale tu wanaofanya law zinazohusika na FIRE. Same applies to CEO (depends wa nini), hata politician (you can be national chair wa DP bado ukawa civil prisoner kwa kushindwa kulipa deni la laki sita). Suluhisho? FIRE!

Sure mkuu FIRE Ndo kila kitu.
 
Kuwa na mtaji wa milion 20 uje songea nunua shamba hekari 100, lima(vibarua) mahindi kwa kisasa, utavuna kila hekari gunia 25 mara hekari 100 una gunia 2500, gunia moja ni 50,000 ukiuza zote unapata milion 150, ukitoa mtaji unapat million 130, gawanya kwa 12 unapata million 11, je ni wangapi wanapata million 11 kwa mwezi kat ya hao uliowataja, kilimo kinalipa ila mh too risk investiment mvua zikikata imekula kwako.

Kilimo cha umwagiliaji.
 
kwa utafiti wangu nimegundua kuwa kazi zifuatazo zinalipa 1.C.E.O(Directors),2.doctors 3.lawyers(jaudges&advocates) 4.soldiers 5.engineers 6.politicians 7.managers 8.accountants .

umesahau ualim mdau,unalipa sana kuliko walim tunavyofikiria,i like it,tena wa serikalin,uwe wa primary,secondary au vyuo vya kati
 
Kazi zinazolipa zaidi kwa jasho dogo ni Siasa.l, religious entrepreneurship na Udalali,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom