google helper
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 9,667
- 13,872
kazi za kuajiriwa hakuna kitu ni kujiakikishia uakika wa mshahara
kwa utafiti wangu nimegundua kuwa kazi zifuatazo zinalipa 1.C.E.O(Directors),2.doctors 3.lawyers(jaudges&advocates) 4.soldiers 5.engineers 6.politicians 7.managers 8.accountants .
Ni kweli ndugu, hata mimi nilijua hivyo, hasa hizo nilizobold. Ninataka nizisome lakini kila nikisoma prospectus za vyuo mbalimbali hapa nchini sioni kozi za hizo kazi. Nitafanyeje nisomee hizo kazi?kwa utafiti wangu nimegundua kuwa kazi zifuatazo zinalipa 1.C.E.O(Directors),2.doctors 3.lawyers(jaudges&advocates) 4.soldiers 5.engineers 6.politicians 7.managers 8.accountants .
ufinyu wa mawazo ndio inaowasumbua vijana wengi hasa hasa walio vyuoni!!! .kwanza mtoa maada kachanganya taaluma na vyeo!! hii inaonuesha wazi kwamba hajui afanyalo.
kazi inayolipa ni ya kujiajiri mwenyewe.
umetusahau sisi waokata chupa,kazi yetu inalipa sasa....
C.E.O ndo kazi gani? si cheo tu hicho!?
kwa utafiti wangu nimegundua kuwa kazi zifuatazo zinalipa 1.C.E.O(Directors),2.doctors 3.lawyers(jaudges&advocates) 4.soldiers 5.engineers 6.politicians 7.managers 8.accountants .
kazi ya kujiajiri inalipa zaidi ya hizo ulizozitajakwa utafiti wangu nimegundua kuwa kazi zifuatazo zinalipa 1.C.E.O(Directors),2.doctors 3.lawyers(jaudges&advocates) 4.soldiers 5.engineers 6.politicians 7.managers 8.accountants .