G bznes
JF-Expert Member
- Jul 19, 2014
- 1,429
- 2,966
Kuwa na mtaji wa milion 20 uje songea nunua shamba hekari 100, lima(vibarua) mahindi kwa kisasa, utavuna kila hekari gunia 25 mara hekari 100 una gunia 2500, gunia moja ni 50,000 ukiuza zote unapata milion 150, ukitoa mtaji unapat million 130, gawanya kwa 12 unapata million 11, je ni wangapi wanapata million 11 kwa mwezi kat ya hao uliowataja, kilimo kinalipa ila mh too risk investiment mvua zikikata imekula kwako.
Mkuu nakupa like kwa mawazo yako ila siku nyngine usifikirie kuegemea kweny upande wa faida tuu umeweka changamoto chache mno tena ya hali ya hewa umesahau hasara nyng sana zitokanazo na kilimo