Hi mambo nipe number yako basi

Kuombwa namba ni sehemu tu ya uchunguzi wa awali.
Sawa na kwenda kituo cha polisi ukaulizwa jina lako nani?na maelezo mengne binafsi.

Mm binafsi kama mwanaume mvaa boxer LA chuma nawashangaa sana wanawake mnaokataa kutoa namba.

Wew toa namba afu msimamo wako unabaki kuwa palepale hata kama angekupigia Kwa support ya wachawi wake wote mtaa mzima if no ni nooooo

Na mwanaume akitanguliza kukuomba namba huwa ni mazingira ndo yanachangia lakni namba ni jiwe LA mwisho kurusha baada ya makombora yote kugonga mwamba au kufanikiwa

Mfano kanisani nitakuomba namba si sehemu salama sana ya kurusha makombora kwenye daladala vilevile nitakuomba,msibani, .Lengo hapa ni kuto likosa tabasamu azizi kama LA sky eklat

In summary
wanaume wengi huwa tunaomba namba maana wanawake wengne ni mwendo kasi unaweza pitiwa mbele ya kadamnasi na mtambo wa THAAD kabla hata makombola hayajamfikia
 
ukiwanyima eti wanasema umepiga teke bakuli la mshahara (husband material)

hivi kwa styl hiyo hata nikikukubali uwe mume inamaana umejaza costa kwakutonfoza hivo na ni kiashiria kwamba tupo wengi.
 
Kuna vitu vingi vya kushirikishana kwenye maisha apart from kutongozana , tatizo wadada mmekariri kuwa tukiwaomba no za simu tunataka kuwatongoza tu .
Umeongea vizuri sana mkuu,alafdu bado wakinyimwa fursa wanahisi wamebaguliwa,kwani kama hutaki hata kama ukimpa namba atakulazimisha?
 
Hi, sky
Naomba namba yako.

Tatizo hatuwezi kuongea moja kwa moja tuu baada ya kuonana gafla.
 
Haijakaa poa and its not romantic either, ndio maana Bibi Mongella akatushangaa wanaume wa siku hizi hatujui kutongoza!!! That was a direct insult to our noble species-men. Siku nyingine tutatukanwa kua hatujui kufanya matusi!

Men if you're attracted to a woman peleka kwanza essential signals ili uwe noticed...not necessarily maneno, like kama ni njiani or wherever make sure kwenye hizo coincidental crashes you're being noticed(I'm not trying to teach anything) but kuomba namba baada tu ya salam kwa total stranger japo waweza pewa imekaa awkward bana. Ikiwa ni kwenye usafiri wa muda mfupi kama kwenye daladala na umevutiwa nae you have two choices, moja msemeshe mambo mengine na upime maji kama yataogeka, the second choice ni kufa na tai shingoni, mwache aende zake bila kutia neno hoping utakutana nae siku nyingine (it always happens) ambao utakua na starting point. Raha ya kuomba namba ni kuomba huku wajua unapewa
 
Naomba namba yako tafadhali...
 
Basi kama ndo wewe niliyekuomba namba kwenye basi, hakika unastahili.Nisamehe tu maana,hadi sasa nakuwaza na natamani siku utakapokuwa Malaika beach kufanya training,tuonane japo kwa siku moja.Angalia WhatsApp tuwasiliane zaidi mtoto mzuri
 
Sina simu sasa mbona
 
Sina simu sasa mbona
 
Wengine mmekaa sit moja kwenye daladala tena anasubiri konda ameshachukua nauli ndiyo anaanza kwani unaelekea wapi? Nipe number basi tuongee zaidi
HahahaHahaha uta achaje kunyimwa
 
Dah......usiniambie kama unaogopa kutongozwa? Ki kawaida ya kiafrika mwanamke anatakiwa atongozwe angalau mara 5 kwa wiki..ajitathmini.....
 
Mi nnamarafiki wa kike na tunachat vizuri tuu. Ila kwakwel wazo la kuwatongoza lipo. Wengi niliowaomba no. Kwe bus, niliwapitia, but wengne tumebak marafik mpaka sasa. Ila siku mazingira yakieleweka , yan nkikutana nae kwe mandhari nzuri, diamond+hamisa=
 
Mambo na mimi naomba namba yako
 
Mim huwa nawapa tu coz cpendagi kupoteza mda, ila linapokuja suala la mawasiliano sasa atajuta
 
Madame, Sky Eclat naomba no yako basi, ntumie inbox!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…