Kozo Okamoto
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 3,391
- 1,546
Hii tabia unakutana na mtu kwenye bus mnasalimiana tu baada ya hapo anaomba number ya simu. Hata kanisani unakuta na mtu mnasalimiana hasa wanaume anaomba number. Kwenye seminar, mnamaliza tu seminar unaombwa bumber.
Kwa mtazamaji wangu kutoa number ni kama kumpa mtu go ahead ya mtongozo.
Mnakionaje hili?
So kwamba tumekariri inategemea tulipokutana tulikua tuna discuss kitu gani kama tulikua tunadiscuss kitu ambacho kina maana utatoa number bila ata kuombwa lakini sio uanze tu kunisifia sifia alafu mwisho Wa siku uniombe number ñikupe NEVER
Most of tyme inatokea ivoHii tabia unakutana na mtu kwenye bus mnasalimiana tu baada ya hapo anaomba number ya simu. Hata kanisani unakuta na mtu mnasalimiana hasa wanaume anaomba number. Kwenye seminar, mnamaliza tu seminar unaombwa bumber.
Kwa mtazamaji wangu kutoa number ni kama kumpa mtu go ahead ya mtongozo.
Mnakionaje hili?
Hhaahhah sasa ndio uwe nae muda wote ili usiombwe number hovyoHuyu hachomoki
Kupeana number si ndio mwanzo wa kujuana?Unaomba number kwa mtu usiemjua? Kama ameolewa atamwambia mumecwake nani anapiga simu
Alaf kwel iyo tabia inakera na ukitoa watu ulio kuwa nao karibu wanakuhisi vibayaHii tabia unakutana na mtu kwenye bus mnasalimiana tu baada ya hapo anaomba number ya simu. Hata kanisani unakuta na mtu mnasalimiana hasa wanaume anaomba number. Kwenye seminar, mnamaliza tu seminar unaombwa bumber.
Kwa mtazamaji wangu kutoa number ni kama kumpa mtu go ahead ya mtongozo.
Mnakionaje hili?
Kwani kutongozwa ni dhambi?? Wenzio wanaenda kwa karimanzila wanatafuta watongozwe wewe unatokwa povu hapa jukwaani..!Hii tabia unakutana na mtu kwenye bus mnasalimiana tu baada ya hapo anaomba number ya simu. Hata kanisani unakuta na mtu mnasalimiana hasa wanaume anaomba number. Kwenye seminar, mnamaliza tu seminar unaombwa bumber.
Kwa mtazamaji wangu kutoa number ni kama kumpa mtu go ahead ya mtongozo.
Mnakionaje hili?
Naomba namba yakoHii tabia unakutana na mtu kwenye bus mnasalimiana tu baada ya hapo anaomba number ya simu. Hata kanisani unakuta na mtu mnasalimiana hasa wanaume anaomba number. Kwenye seminar, mnamaliza tu seminar unaombwa bumber.
Kwa mtazamaji wangu kutoa number ni kama kumpa mtu go ahead ya mtongozo.
Mnakionaje hili?