HESLB: Batch One Out Now

Alafu naona km stationary na makorombwezo baadhi hawatoi, wengi wanaambulia Tuition fee na Meals and Accommodation bc , hii imekaaje?
Labda mwaka huu watu wengi wamefaulu plus Diploma na boom kuongezwa kwa hiyo mzigo bajeti itabana .

Mwaka jana ilikuwa hivi .

*Meals & Accomodations
*Tuition fees
*Book and Stationery
*SFR (Kwa wa kozi za kilimo na udaktari)
 
Njukazi mkuje kuna maokoto yenu huku yametokaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…