Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 13,053
- 18,012
Mimi niliwakubali wanaija siku ile mwenzao amepandishwa kwenye ndege kutokea uk kwenye Nigeria huku amefungwa kamba mikononi na miguuni,jamaa walikomaa hakuna kupaisha ndege kama huyo jamaa hajafunguliwa au ashushwe,polish walijitahidi kuwaelewesha jamaa kuwa huyu ni mhalifu sugu dug hawakuelewa mazee!

