FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,776
Mapopo.Wewe kubali tu ulikuwa hujui kuwa aka ya nigeria kuwa ni naija
Mapopo.Wewe kubali tu ulikuwa hujui kuwa aka ya nigeria kuwa ni naija
Hilo ndiyo jina lao la "Wanaijeria Mapopo. Slang ya Watanzania walioishi nje ya Tanzania.Sasa wewe ajuza mbona sio mstaharabu mimi sijakudharau wewe unanidharau
hayo mabishano yanatusaidia nini Watanzania, acheniHilo ndiyo jina lao la "Wanaijeria Mapopo. Slang ya Watanzania walioishi nje ya Tanzania.
Siyo wewe.
Kwani kinachobishaniwa humu kinakusaidia nini?hayo mabishano yanatusaidia nini Watanzania, acheni
nauliza mabishano yasiyo maana hayo mnayoendelea nayo: ya Naija na sio NaijaKwani kinachobishaniwa humu kinakusaidia nini?
Hii ni barza tu, huyu kaleta hili yule kaleta lile muda unakwenda. Mwenye shughuli zake atabaki hapa? Mawee.nauliza mabishano yasiyo maana hayo mnayoendelea nayo: ya Naija na sio Naija
Nimekuelewa, asanteHii ni barza tu, huyu kaleta hili yule kaleta lile muda unakwenda. Mwenye shughuli zake atabaki hapa? Mawee.
Just killing time.
Ni kweli Trump yupo sahihi kutuita shithole kwa ajili ya ujinga wa wachache kama wewe... mtoa mada kaandika Naija kwa maana ya Nigeria nyie kwa ujuaji wenu mmeleta habari za Niger mmezitoa wapi?Mkuu,
Niger=Naija na itabakia kuwa nchi
Nigeria=Naijeria na itabakia kuwa nchi.
Waswahili 2nakwama wapi lakini? Hata Niger na Nigeria tu tunashindwa kuzitofautisha!!!
Ebu bwana musimfanye trump aendelee kuwaita Shit hole ni aibu sana jamani
OK "mtu wa kisasa" Kumbe Wa-Nigeria (raia wa NIGERIA) mnawaita WANAIJA. Je, Wa-Niger (raia wa NIGER au NAIJA kwa matamshi ya kiswahili) mnawaitaje ninyi watu wa kisasa? Unajua kwamba Nigeria na Niger ni nchi mbili tofauti?"Wanaija" ni Slang inayotumika kitaa kumaanisha Wanaijeria
Labda kwa sababu ya utu uzima wako uko out of touch na lugha hizi
Kaulize mtu yeyote wa kisasa, akueleze watu wanaposema NAIJA wanarefer nchi gani?
Kweli ugumu wa kuelewa na wepesi wa kusahau unakuponza mTanzania mwenzangu mi naongelea Naija we unaniletea habari za Niger.Duh! Mabishano mengine hayana maana,,,Ebu pitia hapa kidogo
Nigeria (/naɪˈdʒɪəriə/ (listen)), officially the Federal Republic of Nigeria, is a country in West Africa, bordering Niger in the north, Chad in the northeast, Cameroon in the east, and Benin in the west. Its coast in the south is located on the Gulf of Guinea in the Atlantic Ocean. The federation comprises 36 states and 1 Federal Capital Territory, where the capital, Abuja, is located. The constitution defines Nigeria as a democratic secular state.[6]
![]()
Niger - Wikipedia
en.wikipedia.org
Sio ukickiacho na wewe ukifuate other wise utaonrkana mjinga.
Soma juu huko, mtu kasema Trump kawaita "shit hole" kwa Kiswahili chake ni nini?Nimekuelewa, asante
Chai hii mkuuMnakosea. "Old school slang" unayoijuwa ni "mapopo".
Na huo utetezi wako ndio unaodhihirisha viwango vya shule.
Utaitajaje nchi nyengine kumaanisha raia wa nchi nyengine? Fikiri.
Si kila ulisikialo mitaani lina maana, mwengine ni ujinga tu.
Kama hiyo haitoshi. Hapa upo JF haupo mitaani. Jiweke kwenye "standard" ya kuwa maandiko yako yanasomwa na watu wa aina mbali mbali na usifikiri kuwa na lugha ya mtaani ni ujanja sana.
Huwezi kuongea Kiswahili India wakakufahamu ingawa unaweza kubahatisha mmoja anaekijuwa cha kuombea maji.
Umenikumbusha mwaka 1974 nilikuwa Uingereza na tukapanda bus (Waswahili watatu). Ndani ya bus, jirani na tulipokuwa kulikuwa na bibi mmoja wa Kiingereza na kijibwa chake. Mmoja wetu akasema "tazama huyu bibi kafanana na mbwa wake", yalikuwa si maneno mazuri lakini ndiyo yashamtoka mwenzetu.
Bus lilipofika anaposhuka yule bibi, wakati anashuka akasema "ahsanteni sana, nawatakia safari njema". Kumbe akitusikia yote.
Mi naona ni coffee.Chai hii mkuu
OK "mtu wa kisasa" Kumbe Wa-Nigeria (raia wa NIGERIA) mnawaita WANAIJA. Je, Wa-Niger (raia wa NIGER au NAIJA kwa matamshi ya kiswahili) mnawaitaje ninyi watu wa kisasa? Unajua kwamba Nigeria na Niger ni nchi mbili tofauti?
Tafadhali naomba ufafanuzi; maana na mimi ni mtu wa kizamani.
Sasa wewe ajuza mbona sio mstaharabu mimi sijakudharau wewe unanidharau
Confidence ?. Unakijua kikundi kinachoitwa Émancipation of Niger Delta (END), katika Delta Province eneo lenye mafuta Nigeria, alikotoka Raisi wa Nigeria wa Zamani Goodluck Jonathan. Wanalipwa percentage fulani na mabeberu kwa ajiri ya kujikimu kwa wananchi na usafi wa mazingira around southern Nigeria ili kuzibiti oil spill. Bila Jonathan mambo yalikua magumu. Jonathan kuwa Rais ilo kundi likaingia mkatabe nae ili litulize vita, kwa kuwa Jonas anatoka eneo lao. Wana umoja hatari, unakumbuka waziri alietimuliwa kwenye part Ugerumani alipoenda kutibiwa ?. Mimi nawakubari sana Wanigeria, ni watafutaji wenye umoja, sio wabongo ukiwa nao iwe nyumbani hapa au Ughaibuni wanakuuza kwa wataka fursa.Confidence gani waliyonayo wakati wanashindwa kutetea mafuta yao yasiibiwe na mabeberu?
Ubabe wa kumkomalia waziri sio sawa na ubabe wa kuwakomalia mabeberu wasiibe rasilimali zenu.Wana umoja hatari, unakumbuka waziri alietimuliwa kwenye part Ugerumani alipoenda kutibiwa ?. Mimi nawakubari sana Wanigeria, ni watafutaji wenye umoja, sio wabongo ukiwa nao iwe nyumbani hapa au Ughaibuni wanakuuza kwa wataka fursa.
Icjekuwa ni lugha gani hiyo?