Heshima kwa Wanaija

Heshima kwa Wanaija

Nchi
Kama kuna taifa linajiamini Africa ni Wanaijeria

Hawa watu kwanza wana umoja na solidarity ya kufa mtu
Siku zote katika nchi yeyeote, ukionea Mnigeria basi fahamu kwamba hawatokaa kimya, lazima watakutia kashkash mpaka siku nyingine itabidi ujifikirie mara mbili kumess nao

Kuna Mwaka mmoja kule Gwangzhou China Polisi wa Kichina aliua MTANZANIA, ni wale Watanzania ambao wamejilipua huko china, wanafanya kazi ya kuuza Kilo kwenye ndege, kutembeza wafanyabiashara wa kibongo madukani n.k

Wakati Watanzania walioko huko wakiogopa nakukimbia huku wakjificha kama digidigi, Wanaijeria wakanunua Msala in the name ya African Solidarity. Wanaume Wakaamua Kufunga barabara iliyobusy sana huko Gwangzhou. Polisi wakaja kujaribu kuwatimua wanaume wakakomaa, hakuna gari kwenda wala kurudi nyuma.
Hali hiyo ilisababisha adha kubwa sana kiasi kwamba wachina wakajifunza kuwa hakuna kumess up na Waanijeria kirahisirahisi

Wanaija Walifunga barabara wakasema mpaka waje viongozi wa Mji wa Gwanzhou waeleze kwa nini Mwafrika huyo kauawa na kwamba Serikali ya Mji huo haitoruhusu polisi kujichukulia sheria mkononi!
Hao ndo Wanaija

Cheki pia kilichotokea south Africa, Kitendo cha kuumiza Mnijeria tu na biashara zake, Wananchi wa Nijeria wamelianzisha huko Naija, Hii unaweza kusema siyo jambo muafaka kulipiza uovu kwa uovu, Lakini wakati mwingine inatuma meseji kwa Vongozi wa Africa ya kusini kuact.

Kinachoonekana ni kwamba viongozi wa Africa ya kusini hawana utashi wa kutumia nguvu za kutosha kukomesha hii hali ya wahuni wa Africa kusini kuvamia biashara za watu na kuzitia moto.
Ule ni uwendawazimu hata NYANI hana akili ndogo kama zile

Wanaija mimi nawkubali sana, TAIFA la watu CONFIDENT ambao wako proud.
Viongozi wengi wa kiafrika ni wanafiki sana,hawaambiani ukweli
 
Naija ni kifupisho cha Nigeria sasa hiyo Niger imetoka wapi?
Sikushangai kwani nafahamu ni kiwango tu cha shule uliyosoma.

Leo umebahatika kwa kufaidika na darsa la FF.

Elewa kuwa kuna nchi inaitwa Niger. Bofya link uisome👇🏾👇🏾

 
Ata simu yangu imeniambia naija.ila siamini ni beberu wakike kaniambia..mi mwenyew nmepata somo.Faiza foxy
Sikushangai.

Kwa kuelewa kuwa Watanzania wengi wa kizazi kipya wameanza kujiunga na JF na wana mengi sana ya kujifunza, nikaamua kuanzisha uzi ambao upo kwa muda sasa na watu wengi sana wanafaidika sana humo kwa mambo mengi tu ya "general knowledge". Jisomee na kama una swali lolote linakutatiza uliza tu...

 
Jamaa ni manunda sana ila ajabu wanaongozwa na rais mdhaifu kwelikweli mpaka kuna kipindi trump alimuita lifeless
Yule General ni gaidi balaa wamemkuta tu sa hivi uzee unasumbua,akiwa rais kwny 1980's alishawahi kushirikiana na waisrael Kumsafirisha waziri wake wa fedha aliyekimbilia UK kwa kumuingiza ndani ya bag na kumsafirisha kama mzigo/furushi bahati mbaya tu waliwahiwa pale Airport.
 
Dunia haijanyooka kama unavyotaka wewe iwe!

Labda nikuwekee tu Urban Dictionary uone watu wakizungumzia "Naija" wanamaanisha nini

Uko out of touch, husikilizi miziki, wala kuangalia sinema kutoka Naijeria au kutembelea mitandao ya wanaijeria na kusikiliza celebrities wao. Hilo neno "Naija" ni common sana kwa wanaijeria kujitambulisha nalo!

View attachment 1199720
Ajuza menopause inamsumbua hizo slang hawezi elewa chochote.
 
Sikushangai kwani nafahamu ni kiwango tu cha shule uliyosoma.

Leo umebahatika kwa kufaidika na darsa la FF.

Elewa kuwa kuna nchi inaitwa Niger. Bofya link uisome👇🏾👇🏾

Kwani kinachoongelewa ni nchi ya Niger au Naija? Upo Sawa lakini maana naona mind yako ishachanganya mafile relax kwanza maybe utajua kinachokusumbua.
 
Niger = Naija
Nigeria = Naijeria

Upo hapo ulipo?

Ubishi wenu ndiyo maana mnaishia kuwa mapoyoyo.
Unapokuwa mbishi afu unatumia hisia zaidi kuliko uelewa lazima uanze kutoa kauli za kashfa na chuki. Be humble twende taratibu mwisho wa picha utaelewa nachosema
Najua unapenda Wikipedia na unaiamini nenda kasearch neno NAIJA then njoo na ulichokipata tuendeleze mjadala wenye logic zaidi.
 
Dunia haijanyooka kama unavyotaka wewe iwe!

Labda nikuwekee tu Urban Dictionary uone watu wakizungumzia "Naija" wanamaanisha nini

Uko out of touch, husikilizi miziki, wala kuangalia sinema kutoka Naijeria au kutembelea mitandao ya wanaijeria na kusikiliza celebrities wao. Hilo neno "Naija" ni common sana kwa wanaijeria kujitambulisha nalo!

View attachment 1199720
Umemshika bibi pabaya teh teh
 
Hilo si tatizo nadhani hapa siyo "audience" ya Wanaijeria. Au hilo nalo gumu kwako kulifahamu?

Si kila ujinga wa kuiga. Nyie ndiyo wale mnaovaa suruali chini ya makalio mkaiga mkiona ni fashion kumbe wenzenu walikuwa wanatangaza chupi za mashoga.
Tatzo hukubaligi kushindwa
 
Dunia haijanyooka kama unavyotaka wewe iwe!

Labda nikuwekee tu Urban Dictionary uone watu wakizungumzia "Naija" wanamaanisha nini

Uko out of touch, husikilizi miziki, wala kuangalia sinema kutoka Naijeria au kutembelea mitandao ya wanaijeria na kusikiliza celebrities wao. Hilo neno "Naija" ni common sana kwa wanaijeria kujitambulisha nalo!

View attachment 1199720
umempatia haswa
 
Back
Top Bottom