Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 17,057
- 18,406
Ulikuwa hujazaliwa. Mrema alikuwa tishio zaidi ya Lowassa. Hadi leo haelewi kwanini hakushinda.Unamaanisha Tundu saivi rally aliyonayo inawiyana na Ile ya Mrema?
Nakumbuka siku aliyojiondoa CCM akiwa waziri, alibebwa juu juu na akapewa Nissan patrol na mfanya biashara mchaga mwenzake pale dodoma.
Yule jamaa baada ya uchaguzi na mrema kushindwa alipelekewa Kodi na mamlaka ya mapato ya tsh 200 mil, mwishoni jamaa alirudi CCM.