Uchaguzi wa 1995 nilikuwa mdogo Primary School nakumbuka Mrema alishinda 1995, aliongoza mikoa 7 yenye nguvu Dar, Kilimanjaro, Arusha, Mbeya, Mwanza, Tanga, Kagera na Tume ya uchaguzi ikafuta matokeo kwenye hiyo mikoa wakaamuru uchaguzi urudiwe tena November kwenye mikoa aliyoongoza Mrema na watu wakasusa Mkapa akapewa ushindi mezani. Mkapa alivyoapishwa kipaumbele chake ilikuwa kudili na Mrema, mikoa iliyompa kura na wafadhili wake.
Jukumu hili walipewa TRA, TISS, IGP Mahita na baadhi ya viongozi wa chama chake NCCR-Mageuzi hapa kuna Advocate Mabere Marando (Mjaluo wa Rorya), Advocate Lamwai, Advocate Hashim Rungwe, Mbatia aliyeachiwa jimbo na Mrema, Ali Sumaye, Chiku Abwao, Ndimara Tegambwage, Makongoro Nyerere, Dr Mvungi, Mwaiseje Polisya, Joseph Selasini, Anthony Komu n.k
Kundi la Mrema walikuwa Advocate Tundu Lissu, Godbless Lema, Thomas Ngowi Ngawaiya, Profesa Baregu, Rev Peter Msigwa, Michael Japhary, Jomba Koyi, Suzanne Lyimo, Advocate Moses Maira, Advocate Israel Magesa, Advocate Nyange, Prince Bagenda, Dr Peter Mlaki, Peter Mziray, Harold Jaffu, Abbas Mtemvu, Jese Makundi, Aloyce Kimaro, Kasim Mtopea, Michael Kisima, Cosmas Chenyenge, kasim Maguto, Makidara Mosi n.k.
Kundi la kina Marando walidai Mrema hajasoma hivyo hawezi kuwaongoza vurugu zikaanzia hapo na serikali kupitia msajili wa vyama vya siasa wakati huo Jaji George Liundi wakawawanabeba kina Marando ili kumpoteza Mrema mwishowe Mrema na kundi lake wakapigwa marufuku ofisi za NCCR pale Manzese Jengo la Ngawaiya na baadae Mrema na wenzie kina Lissu wakaamua kuhamia TLP kwa marehemu Dr Leo Lwekamwa so Ofisi zote za NCCR nchi nzima zikabadilishwa kuwa za TLP huko moshi Mbatia alipigwa marufuku kukanyaga hususani Marangu kwa kosa LA kumsaliti Baba wa Vunjo+Moshi vijijini mzee Mrema.
TLP nako hakukuwa salama TISS kupitia Bagenda na msajili mpya Bill John Tendwa walianzisha vurugu tena ,vurugu zikawa kubwa Bagenda na Lwekamwa wakatangaza kumtimua Mrema na wenzie ndio hapo kina Lissu, Lema, Msigwa, Baregu, Susan Lyimo, Michael Japhary wakavutwa na Mbowe na wakatimkia CHADEMA.
Wafanyabiashara wakubwa waliokuwa wanamfadhili Mrema wakafilisiwa na wengine kupewa scandals mbalimhali kina Alex Massawe.
Wafanyabiashara wengine kama Tajiri wa kimarangu Mzee Koola (Mmiliki wa makampuni ya Zadock A1outdoor Africa) huyu alimpa support kubwa Mrema kuanzia 1995 mpaka 2005 unakumbuka vitenge na kanga za NCCR nchi nzima?
Kwa sasa huyu Zadock Koola alijiunga CCM na ni kada mkubwa wa CCM na Mmoja kati ya watoto wake amegombea huko Vunjo na ameongoza kura ya maoni kwa kumuangusha Dr. Kimei.
Hivyo kumuangusha Mrema zimetumika njia nyingi mno, kumuangusha na kumpoteza hivihivi haikuwa kazi rahisi. Kwa ujumla wanaomdharau Mrema siasa hawazijui.
Mrema atabaki kuheshimiwa kwa kutingisha siasa za Tanzania!
Jukumu hili walipewa TRA, TISS, IGP Mahita na baadhi ya viongozi wa chama chake NCCR-Mageuzi hapa kuna Advocate Mabere Marando (Mjaluo wa Rorya), Advocate Lamwai, Advocate Hashim Rungwe, Mbatia aliyeachiwa jimbo na Mrema, Ali Sumaye, Chiku Abwao, Ndimara Tegambwage, Makongoro Nyerere, Dr Mvungi, Mwaiseje Polisya, Joseph Selasini, Anthony Komu n.k
Kundi la Mrema walikuwa Advocate Tundu Lissu, Godbless Lema, Thomas Ngowi Ngawaiya, Profesa Baregu, Rev Peter Msigwa, Michael Japhary, Jomba Koyi, Suzanne Lyimo, Advocate Moses Maira, Advocate Israel Magesa, Advocate Nyange, Prince Bagenda, Dr Peter Mlaki, Peter Mziray, Harold Jaffu, Abbas Mtemvu, Jese Makundi, Aloyce Kimaro, Kasim Mtopea, Michael Kisima, Cosmas Chenyenge, kasim Maguto, Makidara Mosi n.k.
Kundi la kina Marando walidai Mrema hajasoma hivyo hawezi kuwaongoza vurugu zikaanzia hapo na serikali kupitia msajili wa vyama vya siasa wakati huo Jaji George Liundi wakawawanabeba kina Marando ili kumpoteza Mrema mwishowe Mrema na kundi lake wakapigwa marufuku ofisi za NCCR pale Manzese Jengo la Ngawaiya na baadae Mrema na wenzie kina Lissu wakaamua kuhamia TLP kwa marehemu Dr Leo Lwekamwa so Ofisi zote za NCCR nchi nzima zikabadilishwa kuwa za TLP huko moshi Mbatia alipigwa marufuku kukanyaga hususani Marangu kwa kosa LA kumsaliti Baba wa Vunjo+Moshi vijijini mzee Mrema.
TLP nako hakukuwa salama TISS kupitia Bagenda na msajili mpya Bill John Tendwa walianzisha vurugu tena ,vurugu zikawa kubwa Bagenda na Lwekamwa wakatangaza kumtimua Mrema na wenzie ndio hapo kina Lissu, Lema, Msigwa, Baregu, Susan Lyimo, Michael Japhary wakavutwa na Mbowe na wakatimkia CHADEMA.
Wafanyabiashara wakubwa waliokuwa wanamfadhili Mrema wakafilisiwa na wengine kupewa scandals mbalimhali kina Alex Massawe.
Wafanyabiashara wengine kama Tajiri wa kimarangu Mzee Koola (Mmiliki wa makampuni ya Zadock A1outdoor Africa) huyu alimpa support kubwa Mrema kuanzia 1995 mpaka 2005 unakumbuka vitenge na kanga za NCCR nchi nzima?
Kwa sasa huyu Zadock Koola alijiunga CCM na ni kada mkubwa wa CCM na Mmoja kati ya watoto wake amegombea huko Vunjo na ameongoza kura ya maoni kwa kumuangusha Dr. Kimei.
Hivyo kumuangusha Mrema zimetumika njia nyingi mno, kumuangusha na kumpoteza hivihivi haikuwa kazi rahisi. Kwa ujumla wanaomdharau Mrema siasa hawazijui.
Mrema atabaki kuheshimiwa kwa kutingisha siasa za Tanzania!