Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 34,175
- 43,935
Naweka chini kalamu
Nijiunge sisiemu?
Kwenye chama cha Mwalimu
Kuingoa hii sumu?
Ama mtanilaumu?
Una beep eeh! watakupigia sasa hivi.....
Una beep eeh! watakupigia sasa hivi.....
Kwa nini umem single out Zitto wakati na Mwanakijiji kaandika ? Zitto ni mtanzanoa ana hali ya maoni yake juu ya Kyame Kyenu hiki kya kutuibia na kuonyesha maajabu ya Kilimo Kwanza .Kila mara mnabadili Kauli mbiu wacha tuone baada ya Kilimo kwanza itakuwaje
Lunyungu uwe unasoma kwanza na halafu try to engage ur brain before kukurupuka ovyo. Wapi nimem single out Zitto? Hiyo quote yangu hapo juu unajua ni ya nani?
Lunyungu uwe unasoma kwanza na halafu try to engage ur brain before kukurupuka ovyo. Wapi nimem single out Zitto? Hiyo quote yangu hapo juu unajua ni ya nani?
Nakutaka radhi Mkuu Masatu nimesoma vibaya . Tuendelee sasa mbele .