Kaka mke wako siyo mke wangu kweli πππ subir nikachungulie chet Cha dogo nijue hospital aliyozaliwa nisije nikawa nalea mtoto kumbe wa kwako ππππ mwezi wa nane, hospitali gani
Kaka mke wako siyo mke wangu kweli πππ subir nikachungulie chet Cha dogo nijue hospital aliyozaliwa nisije nikawa nalea mtoto kumbe wa kwako ππππ mwezi wa nane, hospitali gani
Kwamba mwalimu alitaman kazigo Ka mtoto mchanga π€π€π€Nyerere aliondoka na masikitiko makubwa sana, nafikiri ulipishana nae njiani ila sijajua kama kunakitu alikuagiza uje utuambie, ila naimani mpaka leo hana raha huko aliko kupishana na manka mkali kama wewe njiani, nahisi aligeuza shingo hadi nusu ikatike kwa kuutazama mzigo ukinesanesa aisee.
Kaa naye kwanza nasubiri awe mtu maarufu ndio ntaibuka kumjali mwanagu πKaka mke wako siyo mke wangu kweli πππ subir nikachungulie chet Cha dogo nijue hospital aliyozaliwa nisije nikawa nalea mtoto kumbe wa kwako πππ
π SubhanallahKwamba mwalimu alitaman kazigo Ka mtoto mchanga
Au sio ila Leo lazma niitishe kikao kama vip tupime na DNA πππKaa naye kwanza nasubiri awe mtu maarufu ndio ntaibuka kumjali mwanagu π
Inashangaza ππππ Subhanallah
Mbona akili yako imelala mzee, mtu akifa nafsi ikitoka inakuwa ya kijana na nafsi ya mtu kabla haijazaliwa inakuwa ya kijana, hivyo kuanzia mzigo sijuwi wezereee vyoto vilikuwepo Full Manka.Kwamba mwalimu alitaman kazigo Ka mtoto mchanga
sawa mkuu πππMbona akili yako imelala mzee, mtu akifa nafsi ikitoka inakuwa ya kijana na nafsi ya mtu kabla haijazaliwa inakuwa ya kijana, hivyo kuanzia mzigo sijuwi wezereee vyoto vilikuwepo Full Manka.
Nadhani kuzeeka pia inategemea na mwili wa mtu anaweza kuwa huyo wa 2010 akaonekana mzee kuliko mie dada yakeJidanganye kuna watoto wa 2010 wa moto hatari
Huu waraka sijaambulia kitu hebu nisumalaizieNyerere aliondoka na masikitiko makubwa sana, nafikiri ulipishana nae njiani ila sijajua kama kunakitu alikuagiza uje utuambie, ila naimani mpaka leo hana raha huko aliko kupishana na manka mkali kama wewe njiani, nahisi aligeuza shingo hadi nusu ikatike kwa kuutazama mzigo ukinesanesa aisee.
π€£π€£ Hapana bhana,Alianzisha mada Jana anataka anenepe kidogo
Hakika hakika, nakubaliana na weweHappy birthday kwako uishi maisha marefu yenye baraka, watu tulozaliwa mwezi wa kumi ni watu special sana π
Wacha weeee, haya njoo hapa kituo cha polisiπUsijifanye kama hatujuani nje ndani we nipe location ya Leo nije kukuchukua
Inabidi ulie Leo kama siku yako ya kwanza kuzaliwa na wakukuliza nipoπππ
Kumbe humu watu mmeoa, lakini kutwa kututongoza watoto wa watu mtuharibie maisha ππKaka mke wako siyo mke wangu kweli πππ subir nikachungulie chet Cha dogo nijue hospital aliyozaliwa nisije nikawa nalea mtoto kumbe wa kwako πππ
Sawa mdada mwembambaNadhani kuzeeka pia inategemea na mwili wa mtu anaweza kuwa huyo wa 2010 akaonekana mzee kuliko mie dada yake
ππππKwamba mwalimu alitaman kazigo Ka mtoto mchanga π€π€π€
Asante mkuuHongera kwa kuzeeka...
Hapo sasa umezinduka, we zeeka uzeekavyo ila ujue siku ukienda na maji utapishana na manka za kutosha njiani, hivyo nakushauri uwe mtu wa ibada sana shetani asije kukukwapua humo njiani kabla hujazama lango la mbingu.sawa mkuu