Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 13,481
- 26,357
Umeguswa, badilika. Acha mbwembwe.Tatizo lako ndio hili...unapendaga mipasho kinyama
Sasa wewe umejuaje hawasali wala kwenda msikitini?
2022 usiende na hii tabia
Umeguswa, badilika. Acha mbwembwe.Tatizo lako ndio hili...unapendaga mipasho kinyama
Sasa wewe umejuaje hawasali wala kwenda msikitini?
2022 usiende na hii tabia
Buji naona my wife wako ameamua akuvushe mwenyewe anakutoa 2021 anakupeleka 2022, maana kwa nyendo zako akizubaa kidogo tu anavushishwa.
Hahahahh
Picha picha picha usisahau 😊
Buji naona my wife wako ameamua akuvushe mwenyewe anakutoa 2021 anakupeleka 2022, maana kwa nyendo zako akizubaa kidogo tu anavushishwa.




Huu mwaka Bora uishe tu maana majanga tupu!!Hello people
Tumebakiwa na masaa kadhaa tuumalize mwaka 2021,ni muhimu kumshukuru Mungu kwa kila jambo,yapo mengi magumu tumepitia lakini kwa kila jambo ni muhimu kumshukuru Mungu hadi hapa tulipofikia
Kwa niaba ya kila atakayesoma hapa naomba mambo haya
Mwenyezi Mungu akatujaalie afya njema,hekima,mafanikio,moyo wa kupambana bila kukata tamaa,akatupe moyo wa kusamehe na kuachana na visasi,akatujaalie moyo wa upendo na maelewano,akatukumbushe kufanya ibada,chuki na visasi vikakae mbali na mioyo yetu....tunatubu kwa kila baya tulilofanya kwa kujua ama kwa kutokujua AMEN!
Wewe unayepitia magumu kwa sasa usikate tamaa,hili nalo litapita...2022 utakuwa mwaka mzuri kinyamaaa!
Asante Mungu kwa haya maisha
Mungu ni mwema wakati wote!!
Mimi nawapenda
Cheers to 2022
Endeleen kujipa Moyo tu, Hamsali, hamuendi misikitini...hata ile ya kihome home hamnaaaa !!.
Jion mnaenda kupigana miti malodge,wapo mtakaokula Tgo, wapo mtakaoliwa Tgo, kama mlivyofanya sikukuu ya Krismas .
Mungu kawapa Uzima, Afya njema kila siku katika siku 366, alafu mnakumbuka leo tena kwa kumtaja tu, huko nje kuna wagonjwa, yatima, masikini, wajane , wasokua na mavaz wala Chakula.
Sema ni Life tu, Bwana Yesu alikuja kutufia sisi wadhambi, sema TUJITAHIDINI SANA, JAPO KUUFIKIA UPENDO ALOKUA NAO KWA MWANADAMU......
Watu wamekufa ,wengine wagonjwa, wengine wamekata tamaa, Basi hata kama ni majukumu,, kivyovyote iwavyo, Toa muda wako, tembelea wagonjwa wape sabuni , toa muda wako tembelea Yatima, wape sabuni.
Mimi nimegawa Nguo kwa watoto Yatima.
Hello people
Tumebakiwa na masaa kadhaa tuumalize mwaka 2021,ni muhimu kumshukuru Mungu kwa kila jambo,yapo mengi magumu tumepitia lakini kwa kila jambo ni muhimu kumshukuru Mungu hadi hapa tulipofikia
Kwa niaba ya kila atakayesoma hapa naomba mambo haya
Mwenyezi Mungu akatujaalie afya njema,hekima,mafanikio,moyo wa kupambana bila kukata tamaa,akatupe moyo wa kusamehe na kuachana na visasi,akatujaalie moyo wa upendo na maelewano,akatukumbushe kufanya ibada,chuki na visasi vikakae mbali na mioyo yetu....tunatubu kwa kila baya tulilofanya kwa kujua ama kwa kutokujua AMEN!
Wewe unayepitia magumu kwa sasa usikate tamaa,hili nalo litapita...2022 utakuwa mwaka mzuri kinyamaaa!
Asante Mungu kwa haya maisha
Mungu ni mwema wakati wote!!
Mimi nawapenda
Cheers to 2022
, kuhitimisha miezi 12 kwa utashi wa kibinadamu pekee ni mtihani.
.
Hello people
Tumebakiwa na masaa kadhaa tuumalize mwaka 2021,ni muhimu kumshukuru Mungu kwa kila jambo,yapo mengi magumu tumepitia lakini kwa kila jambo ni muhimu kumshukuru Mungu hadi hapa tulipofikia
Kwa niaba ya kila atakayesoma hapa naomba mambo haya
Mwenyezi Mungu akatujaalie afya njema,hekima,mafanikio,moyo wa kupambana bila kukata tamaa,akatupe moyo wa kusamehe na kuachana na visasi,akatujaalie moyo wa upendo na maelewano,akatukumbushe kufanya ibada,chuki na visasi vikakae mbali na mioyo yetu....tunatubu kwa kila baya tulilofanya kwa kujua ama kwa kutokujua AMEN!
Wewe unayepitia magumu kwa sasa usikate tamaa,hili nalo litapita...2022 utakuwa mwaka mzuri kinyamaaa!
Asante Mungu kwa haya maisha 🙏
Mungu ni mwema wakati wote!!
Mimi nawapenda
Cheers to 2022 🥂
Picha inaongea maneno ZILIONIBuji naona my wife wako ameamua akuvushe mwenyewe anakutoa 2021 anakupeleka 2022, maana kwa nyendo zako akizubaa kidogo tu anavushishwa.
Happy new year my baby sisy jojoUnajua vile nakupendaga eeh?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ni kweli Watu8Hey Jo, a new year is like starting a new chapter in our lives.
It’s our chance to start writing incredible stories for ourselves.