Heri ya mwaka mpya 2022

Heri ya mwaka mpya 2022

Joanah

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2016
Posts
24,857
Reaction score
89,753
Hello people

Tumebakiwa na masaa kadhaa tuumalize mwaka 2021,ni muhimu kumshukuru Mungu kwa kila jambo,yapo mengi magumu tumepitia lakini kwa kila jambo ni muhimu kumshukuru Mungu hadi hapa tulipofikia

Kwa niaba ya kila atakayesoma hapa naomba mambo haya
Mwenyezi Mungu akatujaalie afya njema,hekima,mafanikio,moyo wa kupambana bila kukata tamaa,akatupe moyo wa kusamehe na kuachana na visasi,akatujaalie moyo wa upendo na maelewano,akatukumbushe kufanya ibada,chuki na visasi vikakae mbali na mioyo yetu....tunatubu kwa kila baya tulilofanya kwa kujua ama kwa kutokujua AMEN!

Wewe unayepitia magumu kwa sasa usikate tamaa,hili nalo litapita...2022 utakuwa mwaka mzuri kinyamaaa!
Asante Mungu kwa haya maisha 🙏

Mungu ni mwema wakati wote!!
Mimi nawapenda
Cheers to 2022 🥂



 
Asante Watu8
Hahahahaha masaa 3??basi utanipa 'intro' ya 2022 ilivyo

Yes dear, saa 9 alasiri kwa masaa ya Tanzania, huku Fiji itakuwa ni saa 6 usiku 2022...

Nitaweka picha ya mafataki, za jijini Suva...
 
Hello people

Tumebakiwa na masaa kadhaa tuumalize mwaka 2021,ni muhimu kumshukuru Mungu kwa kila jambo,yapo mengi magumu tumepitia lakini kwa kila jambo ni muhimu kumshukuru Mungu hadi hapa tulipofikia

Kwa niaba ya kila atakayesoma hapa naomba mambo haya
Mwenyezi Mungu akatujaalie afya njema,hekima,mafanikio,moyo wa kupambana bila kukata tamaa,akatupe moyo wa kusamehe na kuachana na visasi,akatujaalie moyo wa upendo na maelewano,akatukumbushe kufanya ibada,chuki na visasi vikakae mbali na mioyo yetu....tunatubu kwa kila baya tulilofanya kwa kujua ama kwa kutokujua AMEN!

Wewe unayepitia magumu kwa sasa usikate tamaa,hili nalo litapita...2022 utakuwa mwaka mzuri kinyamaaa!
Asante Mungu kwa haya maisha 🙏

Mungu ni mwema wakati wote!!
Mimi nawapenda
Cheers to 2022 🥂




Nitakualika unifanyie maombi mtumishi..😃
 
Endeleen kujipa Moyo tu, Hamsali, hamuendi misikitini...hata ile ya kihome home hamnaaaa !!.

Jion mnaenda kupigana miti malodge,wapo mtakaokula Tgo, wapo mtakaoliwa Tgo, kama mlivyofanya sikukuu ya Krismas .



Mungu kawapa Uzima, Afya njema kila siku katika siku 366, alafu mnakumbuka leo tena kwa kumtaja tu, huko nje kuna wagonjwa, yatima, masikini, wajane , wasokua na mavaz wala Chakula.


Sema ni Life tu, Bwana Yesu alikuja kutufia sisi wadhambi, sema TUJITAHIDINI SANA, JAPO KUUFIKIA UPENDO ALOKUA NAO KWA MWANADAMU......

Watu wamekufa ,wengine wagonjwa, wengine wamekata tamaa, Basi hata kama ni majukumu,, kivyovyote iwavyo, Toa muda wako, tembelea wagonjwa wape sabuni , toa muda wako tembelea Yatima, wape sabuni.



Mimi nimegawa Nguo kwa watoto Yatima.
 
Yes dear, saa 9 alasiri kwa masaa ya Tanzania, huku Fiji itakuwa ni saa 6 usiku 2022...

Nitaweka picha ya mafataki, za jijini Suva...
Hahahahh

Picha picha picha usisahau 😊
 
Endeleen kujipa Moyo tu, Hamsali, hamuendi misikitini...hata ile ya kihome home hamnaaaa !!.

Jion mnaenda kupigana miti malodge,wapo mtakaokula Tgo, wapo mtakaoliwa Tgo, kama mlivyofanya sikukuu ya Krismas .



Mungu kawapa Uzima, Afya njema kila siku katika siku 366, alafu mnakumbuka leo tena kwa kumtaja tu, huko nje kuna wagonjwa, yatima, masikini, wajane , wasokua na mavaz wala Chakula.


Sema ni Life tu, Bwana Yesu alikuja kutufia sisi wadhambi, sema TUJITAHIDINI SANA, JAPO KUUFIKIA UPENDO ALOKUA NAO KWA MWANADAMU......

Watu wamekufa ,wengine wagonjwa, wengine wamekata tamaa, Basi hata kama ni majukumu,, kivyovyote iwavyo, Toa muda wako, tembelea wagonjwa wape sabuni , toa muda wako tembelea Yatima, wape sabuni.



Mimi nimegawa Nguo kwa watoto Yatima.
Tatizo lako ndio hili...unapendaga mipasho kinyama
Sasa wewe umejuaje hawasali wala kwenda msikitini?

2022 usiende na hii tabia
 
Anytime...
Sadaka itume kwenye namba ile ile
Sawa fika kuanzia mida ya saa moja jioni eneo lilelile ikifika saa tano kwenda saa sita maombi yatakuwa yamepamba Moto tutaanza na mapambio halafu ikifika hiyo mida zitakuja mbio..😊
 
IMG-20211231-WA0009.jpg
 
Back
Top Bottom