Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,530
- 81,257
Pamoja sana mzee baba. Mwakani tunataka guard of honour Chelsea mtuwekee

Sent using Jamii Forums mobile app
Pamoja sana mzee baba. Mwakani tunataka guard of honour Chelsea mtuwekee

You keep missing the point, what do you want? where did I say that I know each and every language around the global? why ask silly questions?
Kila kitu kina (backfire)koro show .kikokotozi na atcl soon nayo INA backfire.misifa yote kitumbua inaingia mchangaUkitaka kujua mwisho wa ubaya ni aibu ni pale unapodhani ukimweka mwenzio ndani siku zitasimama au maisha hayatoendelea.
Mlisema wakalie krismas segerea wakala na wapo salama.
Mkasherekea wakae ndani hadi mwaka mpya na wamevumilia na Sasa 2019 hii hapa.
Natumai ipo siku mtawaona wakitoka uraiani na watawakuta amjapiga hatua kwa lolote badala yake kila mtakapowaona au mtakapokuwa mkitafakari kuhusu wao mtaumia na kudhoofika kimwili.
Nitake kuwatakia mwaka mpya mwema na ukawe mwaka wa kumshinda mtesi wetu kwa kuutafuta Uhuru uliotekwa na watu wachache wasiokuwa na hofu ya Mungu mioyoni mwako.
Kama Kuna kuzaliwa Basi Kuna kifo na Kama Kuna madaraka pia Kuna kustaafu,Kuna kutawala na mwisho ukatawaliwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie mbwa wa Kisabato nasikia na nyie mnasherekea/mnapokea mwaka mpya wa Kikatoliki 2019...? Ni kweli
Kwanini...?dunia imedanganywa na ikadanganyika eti huu ni mwaka 2018!!!



