Heri ya mwaka Mpya 2019

Heri ya mwaka Mpya 2019

The New Year has brought another chance
for us to set things right and to open up a
new chapter in our lives.
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

“Cheers to a new year and another chance for
us to get it right.”
 
Dunia imejaa vurugu sana na kufuatana fatana kumezidi sasa,mtu yeyote ana uhuru wa kusherehekea anavyotaka as long as hambugudhi mwenzake.hata ukiamua iwe may 08 ni sawa tu waache wanaosherehekea jan1 wafanye maana hawakubugudhi kwa chochote.

Mbona mimi nipo ndani mwangu na sinywi pombe wala sitegemei kunywa?

Sent from my Redmi Note 5 using Jamii Forums mobile app
 
Tumeingia mwaka mpya wa 2019 tuendelee kujadili mijadala yenye kujenga taifa la Tanzania
Tuendelee kuipenda nchi yeti, tuendelee kubishana bila kupoteza focus, tuendelee kuvumiliana kwa hoja kinzani.
Tuendelee kulitumia jukwaa pendwa hili kwani linatumiwa na watu wengi sana ndani na nje ya nchi.
Lakini pia jukwaa hili ni chanzo cha habari za ndani kabisa kwani linahusisha hata viongozi wakubwa wa nchi hii.
HAPPY NEW YEAR JAMII FORUMS

Sent using Jamii Forums mobile app
 
f0b2677c8d972e3a466f06ae75c761c5.gif
 
Nice entering 2019 with you as a team. Many thanks. Asanteni sana WanaJF kwa kuingia 2019 pamoja
 
Back
Top Bottom