Machalari ndio nini mkuu?
ni chakula maarufu sana kanda ya kaskazini, especially wachagga!
We thubutu yako ulivyo mnoko nani akualike? Tena na kakako nitonye asijaribu kukualika.
Mungi mi sitakuwa na la ziada ila kukutakia kila la kheri katika maandalizi haya mkuu na kukupa pia nafasi ya kujitafakati na kujua wapi ilienda mchomo na kurudi huko mapemaAsante Mkuu Mr Rocky, nilikuwa nije na patna wangu sweetlady lakini kwa hii tabia yake ya kubugia mavaluu mpaka anakuwa hivi ish! nimeghairi!
Wacha nije na my Lily Flower mkuu.
Asante Mkuu Mr Rocky, nilikuwa nije na patna wangu sweetlady lakini kwa hii tabia yake ya kubugia mavaluu mpaka anakuwa hivi ish! nimeghairi!
Wacha nije na my Lily Flower mkuu.
Asante sana Mkuu
Kwa wakati huu ni muda wa kutafakari ni wapi tulikosea na wapi twapaswa kujisahihisha ili kuweza kurudi katika mstari ulioonyooka
Kimaisha pia ni wakati wa kutafakari ni yapi tuliyafanya kwa ufanisi katika mipango yetu ya mwaka huu na wapi ambapo tulishindwa kufikia malengo yetu
Asante sana na tuombeane tuweze kuumaliza mwaka huu salama
Asante sana Meezy na akina Arushaone, Erickb52, Baba V, Kaunga, AshaDii, Asprin< Bishanga, Blaki Womani, sweetlady, snowhite, HorsePower, Preta, gfsonwin, Filipo, St. Paka Mweusi @st. ivuga, marejesho, na my wife wangu mpendwa Dena Amsi nawatakia maandalizi mema ya sikukuu zijazo hapa
Ingawa siko kwenye listi potelea mbali...............Merry Christmas and a happy new year 2013, have a great festival Mr. Rocky.
mekusahau mtu muhimu kama wewe Lily Flower
kwenye list waweza usiwepo ila moyoni upo sana
Nakutakia na wewe maandalizi mema sana ya msimu huu na Mwenyezi Mungu akutangulie katika yote na mwisho wako wa mwaka ukawe na ulinzi kutoka kwake na usherehekee vyema
Asante sana Mr RockyAsante sana Mkuu
Kwa wakati huu ni muda wa kutafakari ni wapi tulikosea na wapi twapaswa kujisahihisha ili kuweza kurudi katika mstari ulioonyooka
Kimaisha pia ni wakati wa kutafakari ni yapi tuliyafanya kwa ufanisi katika mipango yetu ya mwaka huu na wapi ambapo tulishindwa kufikia malengo yetu
Asante sana na tuombeane tuweze kuumaliza mwaka huu salama
Asante sana Meezy na akina Arushaone, Erickb52, Baba V, Kaunga, AshaDii, Asprin< Bishanga, Blaki Womani, sweetlady, snowhite, HorsePower, Preta, gfsonwin, Filipo, St. Paka Mweusi @st. ivuga, marejesho, na my wife wangu mpendwa Dena Amsi nawatakia maandalizi mema ya sikukuu zijazo hapa
Asante Mr Rocky tupo pamoja.
Erickb52 pamoja sana kaka
Asante.pamoja sana Lily Flower nategemea mwaliko kutoka kwako
Erickb52 pamoja sana kaka
Ni mapenzi ya Mungu sana kufikia siku kama hizi maana hatukumpa kitu cha maana wala sisi sio wema sana ila naamini ana kusudi lake kutuacha
So tunapofikia muda kama huu ni jambo la kumshukuru sana Mungu na kwani ametupitisha katika mengi
Maandalizi yako yakawe mema Erickb52
pamoja sana Lily Flower nategemea mwaliko kutoka kwako
Asante.
Sijakuona long time...upo?
Asante.
Sijakuona long time...upo?