najitangazia umods wa CC na hapo utakuwa wa kwanza kupigwa life ban Mungi ili nipate nafasi ya kuwa na sweetlady na Lily Flower free
Siyo kumvusha barabara peke yake mkuu, hata toilet nilikuwa nampeleka namvua pampasi. anatakiwa anipe salute
Heeeeeeeeee labda sweetlady, manake Lily Flower humpati ng'o! sweetlady nakupa bure kabisa, kama unataka namba yake ya simu ni 02035053164! sharti umwingizie vocha ya startimes ya 18,000 kama and upigia mwenyewe
Mungi mimi nina access na kila alicho nacho sweetlady nashangaa wewe unanipa no yake ya star time wakati mimi nina ya simu na credit card zake zote na paswedi ya mpesa na tigo pesa na zantel na airtel moneyHahaaaaaaaa we kwangua vocha halafu uniPM kwa sababu we huna access na sweetlady mi ntamtumia sawa?