boss you're absolutely right . Iila inategemea ni aina gani ya mwanamke kwani wanawake watafutaji na wenye kuweka malengo ya maendeleo ya familia yao mbele na wenye shughuli au project za uzalishaji siyo rahisi akumbuke kwenda out na huo msamiati wengi hawana. Kizazi cha outing ni hawa wadada wanaojidai kuishi kizungu na hata kama amesoma akitoka kazini hupenda kuoga na kukaa kwenye kochi na kumpelekesha binti wa kazi huku akibadilisha channeli za tv kutafuta miziki ya bongo fleva na mipasho na akitoka hapo atatafuta wauza urembo wampake rangi kucha.
Wanawake wa namna hii huwa nawaita liability kwani wanawaza tu kutumia na si kutafuta njia ya kuongeza kipato na matokeo yake kama mume ana msimamo tofauti naye basi hutafuta wanaume wanaokubaliana naye na mara nyingi huishia kugawa ndoa nje .