FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,894
- 109,227
Sasa kama huelewi kwanini hutendi haki unaendelea kutujazia mtindio wako wa ubongo hapa?
Haeleweki mara hii mara kile hata hajijui anataka kusema nini, amezowea kudanganya na Nape alikuwa anamcheki tu jamaa anajigonga mara hiki mara kile. Hayuko sawa yule, nna uhakika.