Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,647
- 11,227
Na asilimia 80% walikuwa kokoto?
Aslimia ishirini ni watu na asilimia themanini ni watu sasa wapi uongo,ungetumia neno wengi ungeeleweka zaidi
Na asilimia 80% walikuwa kokoto?
Atakuwa mumeo
Hajielewi kivipi hapa?. Ulitaka adanganye ndiyo aonekane anajielewa!.
Alichokisema ndiyo ukweli wenyewe pamoja na kwamba huu ukweli ni mchungu kwa chama chake.
anachokisema Nape ndiyo siasa safi yenyewe ambayo Mh. Mnyika amedokeza.
Hatutaki kuzisikia spinning zake anazofanya majukwaani.
Jamaa pumzi mmembana mpaka kakohoa....hahaaaa na bado
Aslimia ishirini ni watu na asilimia themanini ni watu sasa wapi uongo,ungetumia neno wengi ungeeleweka zaidi
Ishu ya msingi anayosema ni kuwa Tume ya nyalali ilipendekeza kuandikwa katiba mpya
Sasa huo kama si uongo ni nini?
Hivi Chadema TV inafungulia lini?
Mimi nazipenda sana siasa za Mh. Mnyika, lakini ni ujinga na kutomtendea haki mwana siasa tunapoacha kwa makusudi kumkosoa pale tunapoamini amekosea. Binadamu tunajifunza kutokana na makosa.Nikweli unachokisema mkuu hapa hata Mnyika akikosea watu watameza hivyo hivyo hakosolewi
huyo yeye ni malaika!
Uongo upi? kwani tume haikupendekeza mabadiliko ya katiba?
The Nyalali Commission of February 1991 was a Presidential Commission set up under the leadership of then-Chief Justice Francis Nyalali of Tanzania to collect the views of citizens and make appropriate recommendations on whether the country should adopt a multiparty or single party system. It sat during the term of President Ali Hasan Mwinyi. Based on the reports given by the Commission, the Constitution of Tanzania was gradually modified in the following years to accommodate for a multi-party system as a result of Nyalali commision recommendations.
Nani kafa mbona wote wamevaa nguo za msiba?
Uongo upi? kwani tume haikupendekeza mabadiliko ya katiba?
The Nyalali Commission of February 1991 was a Presidential Commission set up under the leadership of then-Chief Justice Francis Nyalali of Tanzania to collect the views of citizens and make appropriate recommendations on whether the country should adopt a multiparty or single party system. It sat during the term of President Ali Hasan Mwinyi. Based on the reports given by the Commission, the Constitution of Tanzania was gradually modified in the following years to accommodate for a multi-party system as a result of Nyalali commision recommendations.
Uongo upi? kwani tume haikupendekeza mabadiliko ya katiba?
The Nyalali Commission of February 1991 was a Presidential Commission set up under the leadership of then-Chief Justice Francis Nyalali of Tanzania to collect the views of citizens and make appropriate recommendations on whether the country should adopt a multiparty or single party system. It sat during the term of President Ali Hasan Mwinyi. Based on the reports given by the Commission, the Constitution of Tanzania was gradually modified in the following years to accommodate for a multi-party system as a result of Nyalali commision recommendations.
Uongo upi? kwani tume haikupendekeza mabadiliko ya katiba?
The Nyalali Commission of February 1991 was a Presidential Commission set up under the leadership of then-Chief Justice Francis Nyalali of Tanzania to collect the views of citizens and make appropriate recommendations on whether the country should adopt a multiparty or single party system. It sat during the term of President Ali Hasan Mwinyi. Based on the reports given by the Commission, the Constitution of Tanzania was gradually modified in the following years to accommodate for a multi-party system as a result of Nyalali commision recommendations.
Its unfeasible plan.Hivi Chadema TV inafungulia lini?