Here we Go-Mnyika na Nape live ITV

Here we Go-Mnyika na Nape live ITV

Kuna uwezekano mkubwa sana unafuatilia mjadala huu lakini huelewi wanachozungumzia

Mnyika anadanganya eti tume ya Nyalali ilisema watu wanataka vyama vingi, wakati ukweli ni kuwa tume ya Nyalali ilisema 20% tu ndio wanataka vyama vingi na 80% walikataa vyama vingi.
 
Nepi sasa.......ANASEMA katiba iliyopo ni nzuri...inataka mabadiliko machache...imefanyiwa mabadiliko na nchi nyingi zinakuja kuiga...anasema tusiipuuze kwa sababu imetusaidia kufika hapa...tusiifanye katiba ya sasa kama takataka

Sema kweli, kasema imfenyiwa marekebisho mara 14 na katiba hiyo hio na mapungufu yake ndio imetufikisha miaka 50 na kuna nchi zinakuja kuiga.
 
Wenye DSTV imekula kwetu sema nn wote mbwa tu,nasubir wenye mbwa TBC au Star Tv
 
nepi.....ameonyesha anguko la ccm, pia amedhihirisha jinsi ccm wanavyo taka kubaka katiba.
 
Of course, si wao ndio walitaka katiba mpya sasa inawashinda?

katiba mpya ni ya nani?mbona siwaelewi coz niliwahi hata kusikia mbunge akisema katiba wameitaka chadema...this is total nonsense hii katiba ni ya watanzania wote maana mapungufu yalikuwa yanawagharimu watz na si vyama.....who bewitched you? alafu mbona jamaa wamekubatiza aiseee..hehehehehe mi naogopa kukuita hivo utanichapa madam wangu wa nguvu
 
Mnyika anadanganya eti tume ya Nyalali ilisema watu wanataka vyama vingi, wakati ukweli ni kuwa tume ya Nyalali ilisema 20% tu ndio wanataka vyama vingi na 80% walikataa vyama vingi.
Huyo jamaa huwa muongo sana.
 
Anasema Takwimu zinaonesha uchumi unakuwa lakini hilo haliko translated katika hali ya maisha ya watanzania..Nape hajielewi..hajui kama wao ndio watawala
Hajielewi kivipi hapa?. Ulitaka adanganye ndiyo aonekane anajielewa!.

Alichokisema ndiyo ukweli wenyewe pamoja na kwamba huu ukweli ni mchungu kwa chama chake.

anachokisema Nape ndiyo siasa safi yenyewe ambayo Mh. Mnyika amedokeza.

Hatutaki kuzisikia spinning zake anazofanya majukwaani.
 
Hajielewi kivipi hapa?. Ulitaka adanganye ndiyo aonekane anajielewa!.

Alichokisema ndiyo ukweli wenyewe pamoja na kwamba huu ukweli ni mchungu kwa chama chake.

anachokisema Nape ndiyo siasa safi yenyewe ambayo Mh. Mnyika amedokeza.

Hatutaki kuzisikia spinning zake anazofanya majukwaani.
Nikweli unachokisema mkuu hapa hata Mnyika akikosea watu watameza hivyo hivyo hakosolewi
huyo yeye ni malaika!
 
Mnyika anadanganya eti tume ya Nyalali ilisema watu wanataka vyama vingi, wakati ukweli ni kuwa tume ya Nyalali ilisema 20% tu ndio wanataka vyama vingi na 80% walikataa vyama vingi.

Kwani hiyo aslimia ishirini walikuwa mawe
 
Huyo jamaa huwa muongo sana.

Nchi imeshakuwa addicted na uongo. Tanzania kila kiongozi ni mwongo. Maisha ya kila siku yanaendeshwa kwa kudanganyadanganya tu imefikia pahala ukweli unageuka uongo and vice versa. Siku hizi utaonekana mwongo ukisema kulikuwa na ahadi kama vile maisha bora kwa kila mbongo, reli ya kasi Dar to Mwanza and Kigoma, ajira zaidi ya milioni moja (eti watasema imetimizwa kwa kuongezeka bar kumeleta ajira za mabaa maid na wachoma chips)
Ni uongo pia ukisema kuna series ya kauli nbiu kama nguvu mpya, ari mpya na okasi mpya wakati majirani zetu wanatupima na kuona tupo nyoronyoro hadi wanaamua kututenga, utakuwa mwongo pia ukisema kina kauli kama kilimo kwanza, tena ikaja matokeo makubwa sasa.
Na hizi nazo? Watanzania wanaweza kuwekeza kwenye juice na soda, asiyeweza kulipa feri apige mbizi, wapinzani wanafuata juice ikulu, nk..
 
Back
Top Bottom