Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
Nape kapiga bao la kisigino.
Ahsante Nape.
Hilo bao la kukubali udhaifu kutokana na kile alichosema mwenzake? Amebugi men!
Nape kapiga bao la kisigino.
Ahsante Nape.
Hiki kipindi bora kifutwe tu ITV kama hamtaweza kuongeza muda bora mkifute tu.
Vitu vya msingi namna hii huwezi vipa muda mfupi namna hii
Hivi mnyika atakuwa muongo mpaka lini.
Naona Mnyika anapiga porojo za umaskini badala kuongelea katiba. kwi kwi kwi teh teh teh.
Sasa karukia maji.
Hata haeleweki anaongea kiajabu ajabu.
Hivi mnyika atakuwa muongo mpaka lini.
Anasema Takwimu zinaonesha uchumi unakuwa lakini hilo haliko translated katika hali ya maisha ya watanzania..Nape hajielewi..hajui kama wao ndio watawala
we nae tumekuzoea sasaHivi mnyika atakuwa muongo mpaka lini.
Mtoto wa ndoa anajulikana tu hata kwa kumuangalia!!
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
wote tunasikiliza wewe unatao wapi unayoandika?
Nani kafa mbona wote wamevaa nguo za msiba?
Mnyika anadanganya eti tume ya Nyalali ilisema watu wanataka vyama vingi, wakati ukweli ni kuwa tume ya Nyalali ilisema 20% tu ndio wanataka vyama vingi na 80% walikataa vyama vingi.
Mnyika anadanganya eti tume ya Nyalali ilisema watu wanataka vyama vingi, wakati ukweli ni kuwa tume ya Nyalali ilisema 20% tu ndio wanataka vyama vingi na 80% walikataa vyama vingi.
yeye aliyeanzisha ccj mbona hajafukuzwa mchumia tumbo siku hizi suruali za zamani hazimtoshi ; propagandaNape amekanusha kuwa Mansour hakufukuzwa uanachama CCM kwa ajili ya msimamo wake juu ya serikali tatu kuwepo kwenye katiba mpya ila kulikuwa na mchakato wa kumfukuza muda mrefu kabla hata ya mchakato wa katiba mpya.
Source; ITV kipindi cha Uzalendo.
Acha kujitukana wewe yani wewe unizoee mimi unawaza nini kwani,hauko sawa eti umenizoea mi najua kanizoea mchumba wangu tu.we nae tumekuzoea sasa