Mnyika anadanganya eti tume ya Nyalali ilisema watu wanataka vyama vingi, wakati ukweli ni kuwa tume ya Nyalali ilisema 20% tu ndio wanataka vyama vingi na 80% walikataa vyama vingi.
Mnyika anadanganya eti tume ya Nyalali ilisema watu wanataka vyama vingi, wakati ukweli ni kuwa tume ya Nyalali ilisema 20% tu ndio wanataka vyama vingi na 80% walikataa vyama vingi.
Mnyika anadanganya eti tume ya Nyalali ilisema watu wanataka vyama vingi, wakati ukweli ni kuwa tume ya Nyalali ilisema 20% tu ndio wanataka vyama vingi na 80% walikataa vyama vingi.
Vipi ni kipindi cha muda gani?
Duh!!hapo kabugi kishenzi sikuamini kama ni gamba linajibu..Anasema Takwimu zinaonesha uchumi unakuwa lakini hilo haliko translated katika hali ya maisha ya watanzania..Nape hajielewi..hajui kama wao ndio watawala
Nani kafa mbona wote wamevaa nguo za msiba?
Duh!!hapo kabugi kishenzi sikuamini kama ni gamba linajibu..