Here is USA army force Vs RUSSIA army force

Here is USA army force Vs RUSSIA army force

Marekani alitia pua VIETNAM akaambulia kichapo atia pua tena kwa wavaa ndala AFGHANISTAN WATALEBAN wakamtoa jasho mpaka basi akaenda korea na kwenyewe akakutana na kizingiti yaani kila anakotia pua lazima ashindwe anabaki kuuwa watu tu wasiokuwa na silaha yaani huyu marekani hata TZ tukiomba nae mechi ya kirafiki ateremshe majeshi yake ardhini tunampiga kama kuku wa mdondo
Hahahaha watu kwa kujifurahisha

Duuu umeandika utafikiri kweli
 
ipo east africa we google au mtafte mwanajeshi umuulize wanajeshi wa kimarekani wanafanya nn Tz
Unafahamu maana ya military base!? Tz hakuna wanajeshi wa kimarekani kunawajerumani na kuna base ya FBI mbeya wakikachero wajerumani wanaoingia na kutoka mbeya kila siku....usiongee usichokijua
 
Mleta uzi samahani sana,huo ni udhalilishaji sasa...iweje namba 1 umweke dada ,alaf dume unaliweka namba 2? Unavyofanya sivyo.....nguvu ya Russia ni sawasawa na nchi zote za ulaya na marekani kwa ujumla...
Hizo ni chuki zidi ya Usa, au zaidi unajifurahisha tu
 
Mkuu hao jamaa ni balaa!!! wanangojea amri tu kutoka kwa putin, then wanasafisha kila kitu kilicho mbele yao!! nilikua naangalia mafunzo yao daaah hawa jamaa ni hatari, nadhani hata kule syria walipelekwa baadhi!!
Syria walipelekwa umesahau komandoo wa kirusi aliecomand airstrike??
 
they are trained to ignore pain. Hata ukimtoa jicho atakufuata tu utadhani hakuna kilichotokea. wanafanya mazoezi hadi kwenye dimbwi la damu. hao sio kabisa sema media zote zimebase west hawana promo
Russia inachukiwa kama ilivyo inachukiwa assia
 
Tukizungumzia vita, Japo NATO na US wanapiga zoezi huko karibu na RUSSIA Daily, siku wakisema wapigane madhara yatachukua miaka zaidi ya miambili dunia irudi kwenye mstari. Hilo hata US wanajua ndio maana vita huwa vinaishia kuwa baridi tu
Sasa wewe ndio unaelewa nini maana ya mrusi ahsante
 
Kinachowapa kick zaid us ni kwamba wao ni wazoefu wa, vita aisee.. Nilisoma blog flan ya defense issues wakasema inawezekana pak fa ya russia ikaizid f22 lakin je vp kuhusu experienc ya pilots… shikamoo marekan
Hujui kama ungekua poti ningekupa mengi lakini nikuache tu
 
Back
Top Bottom