Here is USA army force Vs RUSSIA army force

Here is USA army force Vs RUSSIA army force

US mara nyingi anaonekana mbabe kwa sababu vita vingi huwa anavamia...na siku zote ukiwahi kuvamia hasimu wako utaonekana umeshinda kwa sababu tofauti na wanajeshi wako na silaha za kivita huna kingine cha kupoteza lakini mpinzani wako atakuwa na vingi vya kupoteza kama raia, miundombinu nk...!! lakini US ana operation nyingi ambazo huwa anafeli anapokutana na wababe wenzake ref: black hawk-Somalia or Benghazi...lakini ikitokea siku taifa hasimu likafanikiwa kuvamia US maafa atakayopata hataweza kusahau option atakayobaki nayo ni kutumia nuclear bombs kwa nchi hiyo ndo maana kila leo analialia nuclear bombs awe nazo mwenyewe tu maana ndo mwokozi wake
 
US mara nyingi anaonekana mbabe kwa sababu vita vingi huwa anavamia...na siku zote ukiwahi kuvamia hasimu wako utaonekana umeshinda kwa sababu tofauti na wanajeshi wako na silaha za kivita huna kingine cha kupoteza lakini mpinzani wako atakuwa na vingi vya kupoteza kama raia, miundombinu nk...!! lakini US ana operation nyingi ambazo huwa anafeli anapokutana na wababe wenzake ref: black hawk-Somalia or Benghazi...lakini ikitokea siku taifa hasimu likafanikiwa kuvamia US maafa atakayopata hataweza kusahau option atakayobaki nayo ni kutumia nuclear bombs kwa nchi hiyo ndo maana kila leo analialia nuclear bombs awe nazo mwenyewe tu maana ndo mwokozi wake
Hapo kweli mkuu
 
Bila Putin biashara ya Syria si ingekuwa ishaisha,ila toka kidume katia mguu, marekani kila kukicha meza ya usuluhishi, asante Putin, fanya dunia iwe na heshima na kwa wengine wakienda mwendo huo huo, mpaka watie adabu wehu hawa
Nakuunga mkono jembe!
 
hao usa kama wangekuwa sio waoga basi wangeanzisha vita na mrusi kule georgia maan bush alishia tu kupiga kelele na misaada ya kijeshi aliyoitoa ikachukuliw na warusi
Kwanza mrusi kila siku haishi kujiham kwa kutengeneza silaha nakufanyia maonesho
 
Mkuu kwa sasa nna miaka 30 na nishaoa...nadhani vigezo sina...ila kiukweli toka moyoni mwangu napenda kuwa mjeiwii sana...

pia Mi mtumishi wa umma....sidhan kama watanikubalia kubadili kada....
halafu tayari una kitambi cha nyama choma na bia, hata ukipewa nafasi hutaweza
 
Tangu zamani ilikuwa ni ndoto yangu kuwa mjeiwii ama efu efu yuuu....napendaga ubabe sana...Ni family background ndo zilifanya nisitimize ndoto yangu na kuishia kuwa mwalim...so sad in deed!!!!
Mi ni Mjeda ila natamani sana ningekuwa mwalimu kama wewe! Mi napenda sana kazi inayonipa heshima mtaani na muda wa kupumzika pamoja na kusocialize na watu kama hiyo yako tofauti na hii yangu ya ambayo nipo kazini masaa 24 na sina uhuru kama wewe.
 
Mi ni Mjeda ila natamani sana ningekuwa mwalimu kama wewe! Mi napenda sana kazi inayonipa heshima mtaani na muda wa kupumzika pamoja na kusocialize na watu kama hiyo yako tofauti na hii yangu ya ambayo nipo kazini masaa 24 na sina uhuru kama wewe.
Mbona mjeshi anaheshima kuliko hata mwalimu
 
Back
Top Bottom