Here is USA army force Vs RUSSIA army force

Here is USA army force Vs RUSSIA army force

jidanganye hivyo hivyo. maana unaongea kwa story za vijiweni. ningekupa jina la ma Major 10 ambao wameenda kusoma russia na pia usa wakwambie habari hizi. acha zile story za kahawa jioni tukiwa tumekaa kibarazani tunaongea kwa chuki dhidi ya watu flan. achana na hizo.
Tanzania kweli wana mkataba wa kupeleka maaskari Marekani, sidhani.
 
ulimwengu kuna EMW ni nguvu ya kumaliza nguvu ya umeme.hizo nchi zote inazo so unaweza ona sijui mavifaru yanatembea lakini wanao uwezo wa kuifanya umeme wa kifaru ufe ndani ya dk kazaa na vikawa mavyuma vyuma tu.
Vita vya siku hizi ni ngumu kutabirika.
 
Kwa hii katiba nakubaliana na maneno yako.
Leo 2020 katiba ya urusi imekubali kuwa atakuwa kiongozi hadi 2036.
leo mwinyi ameomba tumuongezee JPM kipindi kimoja cha ahsante tunasita sita lakini kama mtu mnamuamini mnampa tu.
Urusi kiboko..... Putin hatastafu urais forever mpaka afe. Imekaa series flani hivi.... Watakuwa wanabadirishana na Medvedev na wengine watatu wapo FSB
 
Nguvu hiyo inaweza pelekwa sehemu na mawasiliano yakakosekana kwa vile umeme wote umezimwa.na hapo ndipo tunapoona wakubwa wakitaka mfe mnakufa kwa kukosa nishati ya kuwezesha kufanya yenu.
ulimwengu kuna EMW ni nguvu ya kumaliza nguvu ya umeme.hizo nchi zote inazo so unaweza ona sijui mavifaru yanatembea lakini wanao uwezo wa kuifanya umeme wa kifaru ufe ndani ya dk kazaa na vikawa mavyuma vyuma tu.
Vita vya siku hizi ni ngumu kutabirika.
 
amijiandaa kwa vita ya kuja kwako na si kulinda mipaka yake.
American Military Dominance In One Staggering Chart


  • slashing of U.S. Army personnel to pre-World War II levels, American military might is beyond question.

    This chart from April 2013, which is making the rounds again, shows that America's 2012 defense budget surpassed that of the next 10 countries combined.

    0053_defense-comparison-crop.gif
    Defense spending accounts for about 20 percent of all U.S. federal spending.Peter G. Peterson Foundation



    Another example of American military dominance is all of the world's aircraft carriers: The U.S. has 19 aircraft carriers (including 10 massive ones), compared to 12 operated by other countries.

    carriers-2013.gif

 
Vladimir Putin ni kiongozi aliyefanikiwa sana kiusalama. Muundo wake wa idara za kiujasusi kama FSB, GRU, SVR, Main Intelligence Directorate na nyinginezo umemfanya aweze kutengeneza jeshi imara na lenye vifaa vya kisasa na teknolojia ya hali ya juu pamoja ni nidhamu kwa amiri jeshi mkuu (ambaye ni rais).
Umakini wake na mbinu zake ndivyo vimefanya Urusi iendelee kuogopwa na majeshi ya magharibi kwani amewekeza vilivyo katika teknolojia, mafunzo na utafiti kitu kinachoipa Urusi na jeshi lake uwezo wa hali ya juu wa kiusalama na kijeshi.

Licha ya Marekani kuwa na jeshi imara (hasa la anga) bado anamhofia Urusi kijeshi kwa sababu kama ilivyo kwa Marekani, Urusi pia ana silaha za kijeshi ambazo hajazionesha kwa nchi yoyote na ni silaha nzito kweli kweli
 
Back
Top Bottom