Here is USA army force Vs RUSSIA army force

Here is USA army force Vs RUSSIA army force

Vip J.W bush
Bush ni katili for nothing.Amewapiga Iraqi bure akidhani wana silaha za sumu....pili yule mtu alitegemea sana sapoti ya mashori wenzie wa NATO....Putin anamjitegemea mwenyewe na akipiga dili hatoki mkono mtupu...uliona Cremia?
 
Marekani alitia pua VIETNAM akaambulia kichapo atia pua tena kwa wavaa ndala AFGHANISTAN WATALEBAN wakamtoa jasho mpaka basi akaenda korea na kwenyewe akakutana na kizingiti yaani kila anakotia pua lazima ashindwe anabaki kuuwa watu tu wasiokuwa na silaha yaani huyu marekani hata TZ tukiomba nae mechi ya kirafiki ateremshe majeshi yake ardhini tunampiga kama kuku wa mdondo
 
Marekani alitia pua VIETNAM akaambulia kichapo atia pua tena kwa wavaa ndala AFGHANISTAN WATALEBAN wakamtoa jasho mpaka basi akaenda korea na kwenyewe akakutana na kizingiti yaani kila anakotia pua lazima ashindwe anabaki kuuwa watu tu wasiokuwa na silaha yaani huyu marekani hata TZ tukiomba nae mechi ya kirafiki ateremshe majeshi yake ardhini tunampiga kama kuku wa mdondo
Si kweli mkuu kwa hizi data Marekani haina historia ya kushindwa hizo nchi unazozisema kazitandika kachukua anachotaka kaondoka!!!...
 
Mkuu kwa sasa nna miaka 30 na nishaoa...nadhani vigezo sina...ila kiukweli toka moyoni mwangu napenda kuwa mjeiwii sana...

pia Mi mtumishi wa umma....sidhan kama watanikubalia kubadili kada....
Mpeleke mwanao akasote
 
Kazi ya kwanza ninayoipenda ni kulitumikia taifa kama mwanajeshi au askar polisi toka nikiwa mtoto nikalinde aman kwenye nchi zenye vita lakini naona kama inaenda kugonga mwamba.....
Nyingine napenda mambo ya kuwa mwanadiplomosia sema nimesomea ICT Sijui nifanyeje kutimiza hizi ndoto zangu...!!
 
TUMEONA SILAHA NA UWEZO WA MAREKANI KUPITIA VITA MBALIMBALI SASA URUSI ANAGOMBANA NA KAKISIWA KALE KAKICREMIA
Russia military yake ipo juu mkuu,na NASa chombo cha anga ya juu ya USA wananunua engine za Soyuz kutoka kwa mrusi ,,USA kapigana na nchi gn nchi zote alizovamia military zao hazipo njema
 
Kazi ya kwanza ninayoipenda ni kulitumikia taifa kama mwanajeshi au askar polisi toka nikiwa mtoto nikalinde aman kwenye nchi zenye vita lakini naona kama inaenda kugonga mwamba.....
Nyingine napenda mambo ya kuwa mwanadiplomosia sema nimesomea ICT Sijui nifanyeje kutimiza hizi ndoto zangu...!!
Tatizo lako uliogopa radhi ya wazazi wewe!! Yaan ndoto zako na uliko ni kulia kushoto
 
Back
Top Bottom