Here is USA army force Vs RUSSIA army force

Here is USA army force Vs RUSSIA army force

Russian Sniper
1473777097715.jpg
 
Mkuu hao jamaa ni balaa!!! wanangojea amri tu kutoka kwa putin, then wanasafisha kila kitu kilicho mbele yao!! nilikua naangalia mafunzo yao daaah hawa jamaa ni hatari, nadhani hata kule syria walipelekwa baadhi!!
they are trained to ignore pain. Hata ukimtoa jicho atakufuata tu utadhani hakuna kilichotokea. wanafanya mazoezi hadi kwenye dimbwi la damu. hao sio kabisa sema media zote zimebase west hawana promo
 
they are trained to ignore pain. Hata ukimtoa jicho atakufuata tu utadhani hakuna kilichotokea. wanafanya mazoezi hadi kwenye dimbwi la damu. hao sio kabisa sema media zote zimebase west hawana promo
World economy iko USA na Europe
 
Tangu zamani ilikuwa ni ndoto yangu kuwa mjeiwii ama efu efu yuuu....napendaga ubabe sana...Ni family background ndo zilifanya nisitimize ndoto yangu na kuishia kuwa mwalim...so sad in deed!!!!
Pole best Kwa kukosa fursa hiyo kutumikiA jeshi. Mimi niliitema hiyo KAZI.
 
Kinachowapa kick zaid us ni kwamba wao ni wazoefu wa, vita aisee.. Nilisoma blog flan ya defense issues wakasema inawezekana pak fa ya russia ikaizid f22 lakin je vp kuhusu experienc ya pilots… shikamoo marekan
 
Back
Top Bottom