Here is USA army force Vs RUSSIA army force

Here is USA army force Vs RUSSIA army force

Marekani kila anapotaka kuvamia sehemu mpaka awaalike mashoga zake wa jumuiya ya NATO sasa hapo nani kidume RUSSIA yuko peke yake hawa wako nchi 28 wote wanahangaishwa na nchi moja tu
 
Marekani alitia pua VIETNAM akaambulia kichapo atia pua tena kwa wavaa ndala AFGHANISTAN WATALEBAN wakamtoa jasho mpaka basi akaenda korea na kwenyewe akakutana na kizingiti yaani kila anakotia pua lazima ashindwe anabaki kuuwa watu tu wasiokuwa na silaha yaani huyu marekani hata TZ tukiomba nae mechi ya kirafiki ateremshe majeshi yake ardhini tunampiga kama kuku wa mdondo
Ha ha ha eti ata akija tz tunmpiga ha ha
 
Marekani kila anapotaka kuvamia sehemu mpaka awaalike mashoga zake wa jumuiya ya NATO sasa hapo nani kidume RUSSIA yuko peke yake hawa wako nchi 28 wote wanahangaishwa na nchi moja tu
Hyo n jumuiya !! Na makubaliano yao huamui kitu bila wenzio kuafiki kama kuna nchi haziafki bas hawafanyi!! Lakin kuwaambia sio ndo kusema anaomba msaada Ila nisheria za NATO
 
Wanajeshi wa marekani hata tukiwapambanisha na jeshi la sungusungu la kule shinyanga hachomoi kwanza ni Mashoga
 
Ni bora ufungwe katika gereza la Russia, kuliko kujiunga na Russia Special Force.

Yote kwa yote Us kwisha kazi, nchi iliyotulivu na raia wake lazima washinde vita, sasa raia wenyewe tushapoteza matumaini na serikali vipi tunaweza kutoa support kwa serikali.
 
US military bases \ associates in Africa.
AfricaMilitaryMapLegend630.jpg
 
Wanajeshi wa marekani hata tukiwapambanisha na jeshi la sungusungu la kule shinyanga hachomoi kwanza ni Mashoga
Kwa hyo kwa kua mashoga hawawezi kuwatandika...EB waulize Libya,Afghanistan,Iraq,somalia,Syria wanajua mashoga wamewafanya nn!!
 
Back
Top Bottom