UrbanGentleman
JF-Expert Member
- Jun 19, 2016
- 2,584
- 1,886
Afazali umesemaUsishabikie hayo mataifa mawili kupigana maana tutaumia wengi kama nyasi. Mrusi ana silaha, kwa waliowahi kuishi huko kama mimi, wanafahamu hilo maana huwa wana program za TV wanazoonyesha vifaa vyao, ni shida sana.