Here is USA army force Vs RUSSIA army force

Here is USA army force Vs RUSSIA army force

Mleta uzi samahani sana,huo ni udhalilishaji sasa...iweje namba 1 umweke dada ,alaf dume unaliweka namba 2? Unavyofanya sivyo.....nguvu ya Russia ni sawasawa na nchi zote za ulaya na marekani kwa ujumla...
Hiyo kauli yako ya mwisho imeleta utata!! Et nguvu ya RUSSIA ni sawa...
 
Hapana umetuchanganya mbona hapo kwenye russia army force naona M16 WHY?
 
Japo ni kazi ngumu ila ina heshima kubwa sana. Japo kada zote wanachangamoto kubwa ila madaktari na wanajeshi wanachangamoto kubwa. Much respect to them.
 
Mkuu kwa sasa nna miaka 30 na nishaoa...nadhani vigezo sina...ila kiukweli toka moyoni mwangu napenda kuwa mjeiwii sana...

pia Mi mtumishi wa umma....sidhan kama watanikubalia kubadili kada....
Kuwa hata mgambo mkuu.
 
Marekani alitia pua VIETNAM akaambulia kichapo atia pua tena kwa wavaa ndala AFGHANISTAN WATALEBAN wakamtoa jasho mpaka basi akaenda korea na kwenyewe akakutana na kizingiti yaani kila anakotia pua lazima ashindwe anabaki kuuwa watu tu wasiokuwa na silaha yaani huyu marekani hata TZ tukiomba nae mechi ya kirafiki ateremshe majeshi yake ardhini tunampiga kama kuku wa mdondo
Labda marekani ya MANZESE
 
military base ya marekani ipo dunia nzima utapgwa kila angle aiseee dont play with america
watu wanazihack zinarudi hapo chini yaan ni sawa na kusimamisha mboo alafu MTU akadeal na kupiga kende mziki lazima usinyae mzee. Usicheze na watu.
 
Bila Putin biashara ya Syria si ingekuwa ishaisha,ila toka kidume katia mguu, marekani kila kukicha meza ya usuluhishi, asante Putin, fanya dunia iwe na heshima na kwa wengine wakienda mwendo huo huo, mpaka watie adabu wehu hawa
 
Back
Top Bottom